Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,114
- 1,485
Habari wana MMU,
Ni tumaini langu kuwa mko poa sana, ngoja niende kwenye kiini cha uzi kama tittle inavyouliza.
Binafsi ni mtu wa pilikapilika na movement za hapa na pale maeneo ya ma bar na kumbi za muziki.
Katika mizunguko yangu nilipata kushuhudia zaidi ya mara 5 mwanamke kumpapasa hadharani mwanaume kunako mkongo bila hata aibu au kuomba aliguse kabisa tena mbele ya umati bila hiyana.
Sasa swali langu kwenu wanawake ni jambo gani au kitu gani huwa mnatafuta au kusudio lenu ni nini haswa mnapofanya hivi?
TAMATI.
Ni tumaini langu kuwa mko poa sana, ngoja niende kwenye kiini cha uzi kama tittle inavyouliza.
Binafsi ni mtu wa pilikapilika na movement za hapa na pale maeneo ya ma bar na kumbi za muziki.
Katika mizunguko yangu nilipata kushuhudia zaidi ya mara 5 mwanamke kumpapasa hadharani mwanaume kunako mkongo bila hata aibu au kuomba aliguse kabisa tena mbele ya umati bila hiyana.
Sasa swali langu kwenu wanawake ni jambo gani au kitu gani huwa mnatafuta au kusudio lenu ni nini haswa mnapofanya hivi?
TAMATI.