Hao ni wanawake wa kizazi kipi unawazungumzia?
Ndugu yangu niamini mimi. Mwanamke wa sasa anachepuka USO MKAVU na anarudi nyumbani kwa mumewe kama vile hakuna kilichotokea na hakuna hisia yoyote anayoonyesha!
Mwanamke wa sasa ana uwezo hata wa kutembea na BABA YAKO mzazi, kaka yako, ndugu zako n.k na usijue chochote anajikausha na huduma zote nyumbani anatoa kama kawaida.
Hao wanawake unaowazungumzia ambao hawawezi kuficha hisia ni kizazi kilichopita sio hiki cha sasa.