Wanawake ni walevi hadi wanakera!

Wanawake ni walevi hadi wanakera!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Jifunzeni u Lady kidogo, Mwanamke kuwa mlevi haipendezi, unakuta mwanamke amekaa anakata Whisky dadadeki kama hana akili nzuri!
Mwanamke raha yake softy softy labda glass ya Dodoma wine kidogo halafu pia hali sana, badilikeni bhana.
 
Halafu nasikiaga eti baadhi yao wakilewa huwa pombe inakimbilia kule kwa bibi eti. Yaani anayekuja twende. Hahahaaa

Ila pombe isiyo na kipimo sio aisee kama inanywewa bora hao wanywaji wanywe kwa kiasi angalau wajue hata njia ya kurudi majumbani.

 
Ndio maana mimi sidate na mwanamke anaekunywa pombe. Kama anakunywa basi niwe naenda nae bar.

Nishatafuna wanawake wengi sana ambao nawaokota bar, ukikaa nae jiran tu akalewa basi unajiokotea mzoga unaenda kula.

Mimi huwezi kuacha kunikuta maeneo ya bar naotea mizoga ingawa mimi sijawahi na hua sinywi pombe.

Mwanamke akishalewa ushindwe mwenyewe kumla. Hata nikitongoza mwanamke akawa anasumbua basi namuomba kumtoa, akikubali na akawa anakunywa basi siku hyo hyo namtafuna.
 
Daah na bora viroba vimekatazwa. Kuna kademu kalikuaga kanapiga viroba yan kama kanapiga juice ya muwa. Sasa ivi kahamia kwenye bia anapiga Balimi huyo hana hata habari.

Achana na hao kuna wale wanavuta sigara na kupiga kitu cha R. Ndio hatari zaidi
 
Pombe nihatar kwa afya yako both side ...mwanamme mywaji pombe daily lazima ugongewe tuuu.

Mwanamke mnywaji pombe daily lazima ugongeke .
 
Bibi mzaa Baba au mzaa Mama!? Nauliza tu Emmy

Halafu nasikiaga eti baadhi yao wakilewa huwa pombe inakimbilia kule kwa bibi eti. Yaani anayekuja twende. Hahahaaa

Ila pombe isiyo na kipimo sio aisee kama inanywewa bora hao wanywaji wanywe kwa kiasi angalau wajue hata njia ya kurudi majumbani.

 
Back
Top Bottom