tukubaliane Tu mtoto lazma afanane na baba km hatak kufanana hata kucha basi wanaume tuwakatae maana mpk dna tena..!
Ila kwa upande mwingine....
Mwanaume kama umeishi na mke miaka 9
Halafu watoto 2 sio wako..
Kafanye sperm analysis
sasa NN jamaa mwenyewe kesha justify kwamba yeye ni mutant gene, alitegemea nini??
mutation mekupiga kwenye gametic cells
Nina ndugu yangu, mtoto wake wa pili si wa mumewe. Somehow tulikuja kugundua, kijana kawa mbaba tu wa over 45. Nikamshauri yule mama kwamba ni vizuri amwambie, akakataa kisa anaogopa mumewe aliye mtunza atajisikia vibaya.
Kila nikimwangalia huyo bro, roho inauma.
na alaaniwe yeyote yule anaye mtapeli mwenzake!Katapeli kama nyie mnavyotapeli wanawake
na alaaniwe yeyote yule anaye mtapeli mwenzake!
hivi mtu unaamua kuoa, halafu unaishi na mke yako miaka tisa, mumezaa watoto 2, siku mnakorofishana anakuambia mtoto sio wako!! unaamua kuenda kuangalia DNA unakuta ukweli sio wako!! yani miaka yote ulikuwa unalea mke na mitoto ambayo sio ya kwako ambayo unajua ni yako !! hii ni true story imetokea rafiki yangu inaweza ikakutokea wewe mimi pia...usiamini kiumbe kinachoitwa ke hata usiku mmoja, bora upoteze pesa na muda wako mapema pale tu mtoto anakozaliwa kuepuka gharama zisizokuwa za kwako. Bora kulea watoto yatima huku ukijua kabisa ni yatima kuliko kulea mitoto ya kusingiziwa halafu baadae unakuja kujua sio yako!! inauma sana...kuwa makini na wadada wa mjini.
I thought that...maana anavyoandika ni kama anamachungu na kisasi flani hiviShe must be having a bad experience or something with men.
Mimi nina wazo moja, kama mko kwenye kipindi ambacho mnasaka mtoto, kwanini msisafiri angalau nje ya mji ambako hakuna watu wengi, au mwende vijijini mwenu hukoooo kwa mwezi mmoja hivi, huko sasa muwe mnaingiliana kimwili na kimaumbile mpaka mtakapopata mnachotafuta?
Hapa kiasi sasa itapunguza kuletewa watoto ambao si wako...!