Wanawake ni kiboko aisee

Umaskini ni adui wa maisha ila nature lazima ichukue nafasi yake kumbuka
Juzi nili msaidia mtu kiasi Fulani cha pesa .

Alikua afedheheke mbele ya umatii nilikua mitungi kiasi Mimi si nikasahau jamaa Jana ananikumbushaa.. akashukuru. Sanaa mpaka nikashangaa

Nikakumbuka wengine wanapesa kwenda ulaya au American ni kama wewe na Mimi izii buku mbili mbili zetu..

Ukiona mke ana lalamikia ELFU MBILI 🥺 ni majanga zaidii ya snura MUSHII
 
Mwanamke akipekuwa mazaga ya mme wake, hapo ni mwili mmoja na mwanaume akipekuwa mazaga ya mkewe,ana makosa kwa sababu hajaomba ridhaa yake,weseeeeengee nyie,ma*aee zenu mnatoa hzo comment za ki choko
 
Ahahaha
 
Kaka kama hujaoa kaka tafakari mara mbili ,nasema ukweli ,kwenye uchumba ni malaika hata wanaweza kukaa miaka miaka mitano kimya sasa weka ndani ndio utajua ndoa ni ndoano,wanje ni nje na wandani ni ndani
Sijaoa? bado mmoja nikamilishe wanne, ukweli mchungu mnaishi na vituko ndani na sio mke.
 
Nauliza ni mkewangu tu au wanawake karibia wote wanahizi tabia?
 
Dizaini T. kama sio T, Acha kupekua mikoba ya wamama. la mwisho japo si kwa umuhimu, jitahidi kuja vikaoni.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…