Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,197
Ya castle nilipata labda unipe ya supu....Umepata?
ahsante
Ya castle nilipata labda unipe ya supu....Umepata?
Bora akigonga ataanguka na kuchubuka tu, mwache asikilizie utamu wa joto la wanawake ajisahau ajilengeshe kwenye lingao la Land cruiser mkonga kama nitamuachia huyo...Joto la wanaume likoje? Kama jibu ni hujawahi kukumbatia dume lenzako huwezi kusema wanawake wana joto kali. Hii ni thread kudhihirisha unawaza mambo mengine ukiwa unabeba watoto mpaka wazee kwenye piki piki. 36-37 Celsius ni kila binadamu, si wanawake tu. Angalie usigonge watu unawaza jotooo
Kinachotokea hapo wala si wanawake kuwa na joto kali kuzidi wewe, ila ni mwili wako tu unakuwa wa baridi sana kutokana na kupigwa na upepo mkali.Wanawake ni hatari sana maana wana joto kali sana kuliko wanaume kiasi kwamba hata kama mvua imenyesha ni rahisi sana mwanamke kumuondolea mwanaume joto wakilala pamoja kwa kukumbatiana hata kama hawafanyi tendo. Mwanamke hata kama umembeba kwenye pikipiki akiwa amekaa kiume yaani joto lake utalisikia tu. Mimi nimewahi kubeba wanawake mbalimbali wadogo kwa wakubwa ni joto mtindo mmoja. Nimekuja kushangaa leo nilipombeba mwanamke mzee akiwa amekaa kiume kuona ana joto kali sana nikaamini kuwa mbele ya joto hamna cha mzee kwa upande wa mwanamke. Sijui hili naliona mimi mwenyewe ama na wenzangu mnaliona hili? Naomba mawazo yenu tafadhali.
Buku kumi sina ila usafiri wa pikipiki buree.. Nitakubeba, siwajua tena mambo na kupima joto ndiyo swag sikuhizi.Yani nna kiu, koo limekauka, hela sina.... natamani castle lite ya baridiiii
mwenye buku ten naomba anikopeshe!!!
Hawa madereva bodaboda hawa...!!!
wamefanyaje??
Nitawahadithia kisa chao siku moja!!!
Ya castle nilipata labda unipe ya supu....
ahsante
Una TTCL money?