TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,695
- 2,449
Evelyn Salt na mimi tunajuana viwanja vyetu... we ndio umtumie acha ubahiliAcha uchoyo! Amekuambia umtumie buku kumi tu! Mbona unamnyima kiaina?
Last edited by a moderator:
Evelyn Salt na mimi tunajuana viwanja vyetu... we ndio umtumie acha ubahiliAcha uchoyo! Amekuambia umtumie buku kumi tu! Mbona unamnyima kiaina?
Wanawake ni hatari sana maana wana joto kali sana kuliko wanaume kiasi kwamba hata kama mvua imenyesha ni rahisi sana mwanamke kumuondolea mwanaume joto wakilala pamoja kwa kukumbatiana hata kama hawafanyi tendo. Mwanamke hata kama umembeba kwenye pikipiki akiwa amekaa kiume yaani joto lake utalisikia tu. Mimi nimewahi kubeba wanawake mbalimbali wadogo kwa wakubwa ni joto mtindo mmoja. Nimekuja kushangaa leo nilipombeba mwanamke mzee akiwa amekaa kiume kuona ana joto kali sana nikaamini kuwa mbele ya joto hamna cha mzee kwa upande wa mwanamke. Sijui hili naliona mimi mwenyewe ama na wenzangu mnaliona hili? Naomba mawazo yenu tafadhali.
Evelyn Salt na mimi tunajuana viwanja vyetu... we ndio umtumie acha ubahili
Wanawake ni hatari sana maana wana joto kali sana kuliko wanaume kiasi kwamba hata kama mvua imenyesha ni rahisi sana mwanamke kumuondolea mwanaume joto wakilala pamoja kwa kukumbatiana hata kama hawafanyi tendo. Mwanamke hata kama umembeba kwenye pikipiki akiwa amekaa kiume yaani joto lake utalisikia tu. Mimi nimewahi kubeba wanawake mbalimbali wadogo kwa wakubwa ni joto mtindo mmoja. Nimekuja kushangaa leo nilipombeba mwanamke mzee akiwa amekaa kiume kuona ana joto kali sana nikaamini kuwa mbele ya joto hamna cha mzee kwa upande wa mwanamke. Sijui hili naliona mimi mwenyewe ama na wenzangu mnaliona hili? Naomba mawazo yenu tafadhali.
Yani nna kiu, koo limekauka, hela sina.... natamani castle lite ya baridiiii
mwenye buku ten naomba anikopeshe!!!
Sawa ila jina lako linautata! TATIANA
Yani nna kiu, koo limekauka, hela sina.... natamani castle lite ya baridiiii
mwenye buku ten naomba anikopeshe!!!
Andika kwamba mananii yako yanakuwa kwa kasi!!! Bila hivyo hata mia hupati.
Utata gani huo?
TATIANA! na nani? Mim au.
Kwa nini ipate shida mtt wa kike?
Salio lako jipya ni Tsh.100,000. Umepokea Tsh 100,000 kutoka kwa Kichoi
iyoe kichoi...ngiterewa apo kidogo aiseeh!
Naogopa zitaunganishwa...Andika kwamba mananii yako yanakuwa kwa kasi!!! Bila hivyo hata mia hupati.
Yani nna kiu, koo limekauka, hela sina.... natamani castle lite ya baridiiii
mwenye buku ten naomba anikopeshe!!!
Pm kutokijibiwa ujue kuna kituWengine tukiPM hatujibiwi...ila inauma!!!
NiPM namba yako nikutumie hata ka laki(****).Umalizie weekend kwa Amani my dear to be Oppsss...sory nimekosea nilitaka kusema evelyn salt.
Ukiona hivi ujue ni kahawa tu hapa, kwahiyo nasi tunasambaziana kahawa na kashata tuMbona sasa watu wako nje ya mada?
Eeh ngilemie tusu!