masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,797
- 16,804
wasalimie kikundi chenu cha GANJA FARMER
Yani nna kiu, koo limekauka, hela sina.... natamani castle lite ya baridiiii
mwenye buku ten naomba anikopeshe!!!
Pm kutokijibiwa ujue kuna kitu
hata Vin Diesel anajua lol....
jamani mie cjaelewA
jamani mie cjaelewA
Yani nna kiu, koo limekauka, hela sina.... natamani castle lite ya baridiiii
mwenye buku ten naomba anikopeshe!!!
apaa ngatar'a
Teamba dhoi
Utakayopanga tu ilimradi mi ninywe kwakweli...
af punguza basi hako ka space kwenye maneno?
Na mi naomba lifti kwenye bodaboda nikupe joto kali sana...!
Mada zingine ni Za kijinga sana aisee
Acha kudharau mada za watu kama huna la kuchangia bora ukae kimya sio kuongea utumbo.