Wanawake naomba mnijibu hili swali

Wanawake naomba mnijibu hili swali

IKARAHANSI

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2019
Posts
398
Reaction score
479
Habari za muda huu wana JF!

Ni muda mrefu nimekuwa nikisikia hii habari/imani ya baadhi ya sisi wanaume na baadhi ya wavulana. Imani yenyewe ni kuwa Mwanaume aliyekubikiri halafu mkaachana ni mwiko kumnyimba kumnyima unyumba, yaani hata kama mtakuja kukutana ukiwa tayari umeolewa na una watoto kisha akaomba kukumbushia (kufanya ngono/mapenzi) ni mwiko kumkatalia. Je, hii imani ni ya kweli?
 
...Hii Imani ndo naisikia Leo...khaaaa

Ila Kama Unaamini hiyo iman kuwa mfuasi wa joka jeusi..yanini kujipa taabu
Dada yangu mimi siamini hiyo imani ila kuna watu wanaisisitiza sasa nikaona nikibisha sana watahisi kama najitetea, ndo maana nikaileta hii jamvini ili kupata mawazo/maoni na ushauri hasa kutoka kwa jinsia ya kike maana ninyi mnajielewa vizuri kuliko tunavyowaelewa na hapa tunatumia akaunti bandia hivyo mna uhuru wa kufunguka pia.
 
Dada yangu mimi siamini hiyo imani ila kuna watu wanaisisitiza sasa nikaona nikibisha sana watahisi kama najitetea, ndo maana nikaileta hii jamvini ili kupata mawazo/maoni na ushauri hasa kutoka kwa jinsia ya kike maana ninyi mnajielewa vizuri kuliko tunavyowaelewa na hapa tunatumia akaunti bandia hivyo mna uhuru wa kufunguka pia.
Sio KWELI...KABISA....
Una MIAKA mingapi?.. maan hizi hua Ni discussion za walitoka balehe Muda Sio mrefu
 
Kheeee!!jaman ndo imani gani hii yan kama mtu ali-messup kisa alikua wa kwanza ndo akiomba kupasha kiporo anapewa?!hii sio kweli na once kila mtu amemove on na maisha yake there shud be respect to one another jaman...
 
Wapenzi wa zamani kukumbushia inategemea na factor kadhaa lakini kutoa bikra haimo kwenye factor hiyo.
1. Uhusiano wenu ulikwenda vipi...ulikuwa super au magumash.
2. Sababu ya kuachana. Kuna watu wanakuwa hawako pamoja lakini hawajaachana. Pengine umbali, kupotezena tu n.k.
3. Mazingira -mnamawasiliano, mnakutana au hamkutani.
4. Bado analipa?unaweza kukuta mtu amechoka wala hata hamu naye huwezi kuwa naye. Hii ni kwa wote wakike na wakiume. Maisha kama yamempiga amechoka atakuwa dada au kaka tu.
5. Feeling zipo au hazipo.

Siyo bikra tu kuna watu hawajakutana bila bikra lakini kila wakikutana wanalianzisha hata miaka 30
 
Wapenzi wa zamani kukumbushia inategemea na factor kadhaa lakini kutoa bikra haimo kwenye factor hiyo.
1. Uhusiano wenu ulikwenda vipi...ulikuwa super au magumash.
2. Sababu ya kuachana. Kuna watu wanakuwa hawako pamoja lakini hawajaachana. Pengine umbali, kupotezena tu n.k.
3. Mazingira -mnamawasiliano, mnakutana au hamkutani.
4. Bado analipa?unaweza kukuta mtu amechoka wala hata hamu naye huwezi kuwa naye. Hii ni kwa wote wakike na wakiume. Maisha kama yamempiga amechoka atakuwa dada au kaka tu.
5. Feeling zipo au hazipo.

Siyo bikra tu kuna watu hawajakutana bila bikra lakini kila wakikutana wanalianzisha hata miaka 30
Inasikitisha sana
 
Kheeee!!jaman ndo imani gani hii yan kama mtu ali-messup kisa alikua wa kwanza ndo akiomba kupasha kiporo anapewa?!hii sio kweli na once kila mtu amemove on na maisha yake there shud be respect to one another jaman...
Ahsante!!
 
Wapenzi wa zamani kukumbushia inategemea na factor kadhaa lakini kutoa bikra haimo kwenye factor hiyo.
1. Uhusiano wenu ulikwenda vipi...ulikuwa super au magumash.
2. Sababu ya kuachana. Kuna watu wanakuwa hawako pamoja lakini hawajaachana. Pengine umbali, kupotezena tu n.k.
3. Mazingira -mnamawasiliano, mnakutana au hamkutani.
4. Bado analipa?unaweza kukuta mtu amechoka wala hata hamu naye huwezi kuwa naye. Hii ni kwa wote wakike na wakiume. Maisha kama yamempiga amechoka atakuwa dada au kaka tu.
5. Feeling zipo au hazipo.

Siyo bikra tu kuna watu hawajakutana bila bikra lakini kila wakikutana wanalianzisha hata miaka 30
Ahsante kwa majibu na ufafanuzi mujarabu,nakuombea kwa MUNGU uzidi kubarikiwa!!
 
Mi nadhani issue wala sio bikra ila ni aina ya mahusiano ambayo mwanamke alikuwa nayo na ex wake.kama alipendana na jamaa huko nyuma iwe alimbikiri au la na wakawa bado wanapendana wakikutana ni ngumu mdada kukaza na hasa kama mahusiano aliyomo kwa wakati huo yana mapungufu yanayomfanya amkumbuke jamaa wa mwanzo,mfano awe anapitia stress kwa jamaa mpya,halidhishwi kimwili,nk ni rahisi kuliwa na jamaa wa zamani.bikra sio issue sana kwa sababu kwanza ni kitendo ambacho hakina hata starehe ni siku ya maumivu tu ila kinacholeta hali ya kushindwa kukataa ni mapenzi waliyokuwa nayo jinsi yalivyokuwa na jinsi mahusiano ya sasa yalivyo,kama mtu aliyenae sasa anampa upendo mkubwa na anamjali hampi stress Mara nyingi wanawake wenye msimano hata kama ulimbikiri anakukazia kama hakujui.ukiwa unampa stress na karaha ni rahisi kutafuta faraja kwa mtu wake wa zamani sababu walishazoeana na kuvuliana nguo before kwahyo ni rahisi tu kumvulia tena
 
Mi nadhani issue wala sio bikra ila ni aina ya mahusiano ambayo mwanamke alikuwa nayo na ex wake.kama alipendana na jamaa huko nyuma iwe alimbikiri au la na wakawa bado wanapendana wakikutana ni ngumu mdada kukaza na hasa kama mahusiano aliyomo kwa wakati huo yana mapungufu yanayomfanya amkumbuke jamaa wa mwanzo,mfano awe anapitia stress kwa jamaa mpya,halidhishwi kimwili,nk ni rahisi kuliwa na jamaa wa zamani.bikra sio issue sana kwa sababu kwanza ni kitendo ambacho hakina hata starehe ni siku ya maumivu tu ila kinacholeta hali ya kushindwa kukataa ni mapenzi waliyokuwa nayo jinsi yalivyokuwa na jinsi mahusiano ya sasa yalivyo,kama mtu aliyenae sasa anampa upendo mkubwa na anamjali hampi stress Mara nyingi wanawake wenye msimano hata kama ulimbikiri anakukazia kama hakujui.ukiwa unampa stress na karaha ni rahisi kutafuta faraja kwa mtu wake wa zamani sababu walishazoeana na kuvuliana nguo before kwahyo ni rahisi tu kumvulia tena
Ahsante kwa maelezo na ufafanuzi ila naomba unithibitishie jinsia yako (samahani kwa usumbufu)
 
Sisi mamen tupo kusoma majibu.
Thanks wadada nyie
 
Back
Top Bottom