Wanawake na wanaume wenye magari

I-NGOSHA

JF-Expert Member
Nov 7, 2011
496
182
Asilimia kubwa ya wanawake wanawaza kuwa na wanaume wenye fedha nyingi, magari mazuri nakadhalika, je ni wanaume wanangapi walivyo navyo hivyo vitu na je, hao wenye navyo wanakidhi idadi ya wanawake wenye uhitaji wa wanaume wenye hivyo vitu. Mwisho wa siku mwanamke kama huyo anahitaji huyo bwana awe wake peke yake huku akiwa kasahau kuwa kampendea mali alizonazo ambapo nyuma yake kuna wanawake wengi wenye kuhitaji bwana mwenye sifa kama za bwana wake.
 
Una dhani siku hizi wote wanajali tena hilo,hata kama mtu anajua wapo wengine wengi yeye ana angalia maslahi yake,vinginevyo ingekuwa hivyo sidhani kama kungekuwa hata na nyumba ndogo.
 
Una dhani siku hizi wote wanajali tena hilo,hata kama mtu anajua wapo wengine wengi yeye ana angalia maslahi yake,vinginevyo ingekuwa hivyo sidhani kama kungekuwa hata na nyumba ndogo.
Una maanisha atakuwa tayari akuone na mwingine na roho isimuume?
 
mbona unaanza weka mikingamo tafuta uwavutie iyo asilimia unayoongelea
 
People get married for various reasons. Hata vijana wapo wanaotafuta wake za watu kwa ajili ya kupunguza gharama za matunzo. Plz, tunaweza kutofautisha wavulana na wanaume, na wanawake na wasichana? Kwa sababu mwanamke anaweza kuishia kuwa na gari na vitu vyake vya maana zaidi hata ya mwanaume kama ukizubaa.
 
Ni asilimia ngapi hizo? Na je ni wasichana au ni wanawake? Nahsi ktk utafiti wako asilimia kubwa ni wasichana wenye umri wa miaka 18 hadi 22 na weng ni wanafunz wa vyuo ndo umewafanyia utafiti.
Unachotakiwa kujua ni kuwa wengine ni wanawake/wadada ambao hatuna fikra kama hizo tunajua maana ya ndoa ni nini, na tunafanya kazi na tuna uwezo wa kumiliki gari nzuri ya kutembelea na nyumba nzuri za kuishi
 
Tatizo ni wanadam ni kuwa hatukufundishwa namna ya kutatua tatizo,hasa nyie wanawake,ninaposema hivi ninamaana kuwa tatizo linapotokea huwa hamkubali kuwa ni kweli lipo na linasababishwa na globolaizesheni,mtu anaposema wanawake wa leo wanapenda hayo mambo aliyosema mtoa mada halafu wanawake wote wanakuja kupinga kisa wao ni wanawake mnakua mnaongeza tatizo badala ya kutafuta tiba,ni sawa na watu wanapiga kelele kuwalaumu waingereza kwa kutulazimisha kuhalalisha ushoga kisheria wakati mtaani kwake wamejaa na amekubali kwani amekaa kimya!
 
Tatizo ni wanadam ni kuwa hatukufundishwa namna ya kutatua tatizo,hasa nyie wanawake,ninaposema hivi ninamaana kuwa tatizo linapotokea huwa hamkubali kuwa ni kweli lipo na linasababishwa na globolaizesheni,mtu anaposema wanawake wa leo wanapenda hayo mambo aliyosema mtoa mada halafu wanawake wote wanakuja kupinga kisa wao ni wanawake mnakua mnaongeza tatizo badala ya kutafuta tiba,ni sawa na watu wanapiga kelele kuwalaumu waingereza kwa kutulazimisha kuhalalisha ushoga kisheria wakati mtaani kwake wamejaa na amekubali kwani amekaa kimya!

Hakuna anayepinga kwa sababu ni mwanamke, utafiti mnaoufanyia kwa wasichana na wanafunzi wa vyuo ndo mnakuja kuconclude kuwa ni wanawake wengi?? Btw, mwenzako akinyolewa.....................?????
 
kuna dada mmoja anasoma chuo kikuu 2po nae mtaa mmoja kwa yeye kama huna gari hana tym na ww kwa sasa anao kama watatu na wte wana magari.
 
Hakuna anayepinga kwa sababu ni mwanamke, utafiti mnaoufanyia kwa wasichana na wanafunzi wa vyuo ndo mnakuja kuconclude kuwa ni wanawake wengi?? Btw, mwenzako akinyolewa.....................?????

Kwani hao wanavyuo wanasoma milele? Wanaingia mtaani pia. And by the way, hili suala la kubishana, wanawake wengi hapa mjini wanavutika na materialistic things!
 
Back
Top Bottom