Wanawake na wanaume wazoefu tujuzane

Wanawake na wanaume wazoefu tujuzane

Ina miezi mingapi mkuu, pia watalamu wanasema mimba huja na hali tofauti kwa wanawake wengine kuugua moja kwa moja hakupumzishi mpaka ajifungue, hivyo kwa lugha rahisi mvumilie nawewe ndiye tiba yake ukikwazika akajitambua we ni kero kwake utamhatalisha afya yake na mtoto.
Mm nishamuelewa ina miezi 6 af ata yeye akininyima pakuzipata zipo nyingi isitoshe yeye kaja niambai ina miezi miwili so nimetilia mashaka nipo mguu nje mguu ndani
 
Hivi mimba zote ndio zilivyo hivi mtu ana lia bila sababu una bembeleza mpaka una pata hasira una amua kwenda mbali ukirudi tu ana weza kukuuliza swali wewe uka mjibu vizuri

Lakini aka angua kilio kikubwa kichwa kinauma aseee bora now nipo mbali lakini ana weza kukupigia simu ana lia tu sababu za kijinga mpaka ukiona simu yake utamani kupokea

Ee Mungu nini hiki 😣
Evelyn Salt
Hongera ba kijacho..... Raha ya mimba iwe na makashikashi yani mimba tsunami
 
Hivi mimba zote ndio zilivyo hivi mtu ana lia bila sababu una bembeleza mpaka una pata hasira una amua kwenda mbali ukirudi tu ana weza kukuuliza swali wewe uka mjibu vizuri

Lakini aka angua kilio kikubwa kichwa kinauma aseee bora now nipo mbali lakini ana weza kukupigia simu ana lia tu sababu za kijinga mpaka ukiona simu yake utamani kupokea

Ee Mungu nini hiki 😣
Evelyn Salt
Anakudharau anakuona poyoyo, na huenda hiyo sio mimba yako, ana exergrate ili kuwa relavant.

Nimemaliza sitakoment tena uzi huu
 
Huyo mwanamke wako wa ngapi bro, kamwe usiamini machozi ya mwanamke hasa kama hapo ameshajua akijiliza kidogo unaingia kwenye mtego wake, ana kukumanipulate kidogo kidogo namna hiyo
Kama mimi machozi yangu yapo mlangoni ukinigusa tu najaza ndooo unaweza kunihurumia hata kama kosa ni langu, nikiamua kulia nalia haswaa
 
Hivi mimba zote ndio zilivyo hivi mtu ana lia bila sababu una bembeleza mpaka una pata hasira una amua kwenda mbali ukirudi tu ana weza kukuuliza swali wewe uka mjibu vizuri

Lakini aka angua kilio kikubwa kichwa kinauma aseee bora now nipo mbali lakini ana weza kukupigia simu ana lia tu sababu za kijinga mpaka ukiona simu yake utamani kupokea

Ee Mungu nini hiki 😣
Evelyn Salt
Anakuonea huruma mimba ya sio Yako ikiwa Yako atakupenda utashangaa
 
Back
Top Bottom