Wanawake na vitambi

Wanawake na vitambi

kaka km

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2013
Posts
1,336
Reaction score
687
Jana jioni nilienda kumtembelea jamaa yangu kigamboni,tukiwa kwenye jengo la kungoja mtumbwi/pantoni nikawa nimekaa kwenye viti vilivyomo mle ndani karibu na sehemu ya kuingilia.

Hivyo nikapata fursa nzuri ya kuangalia kila anaeingia,leo pia nimefanya hivyo kule upande wa pili.

Asilimia kubwa ya wanawake niliowaona pale wana vitambi,tena vitambi vikubwa,wengi wakiwa ni mabinti wadogo na wa umri wa kati,yaani kati ya miaka 17-38. Wanawake hivi vitambi mnavitoa wapi?

Yaani matumbo makubwa utadhani ujauzito kumbe ni kitambi.

Hii ni hatari kwa kweli.
 
Kutokuwa na kiasi katika ulaji ni shida, na mbaya zaidi hakuna mazoezi, lazima lijitambi litokee!
 
Ke wengi wanaamini mazoezi ni kwa wanaume.

Yani unaweza kumkuta ke ana kitambi, afu maziwa yapo apo apo, kifua apo apo, tumbo apo apo, makalio apo apo na mgongo apo apo.

Sana sana kwa ke vibonge, kujisafisha wenyewe mtihani, fulu manongo, fulu kiharufu. Afu anabana pua na kusema hakuna waoaji!

Teh teh teh!
 
Jana jioni nilienda kumtembelea jamaa yangu kigamboni,tukiwa kwenye jengo la kungoja mtumbwi/pantoni nikawa nimekaa kwenye viti vilivyomo mle ndani karibu na sehemu ya kuingilia. Hivyo nikapata fursa nzuri ya kuangalia kila anaeingia,leo pia nimefanya hivyo kule upande wa pili.

Asilimia kubwa ya wanawake niliowaona pale wana vitambi,tena vitambi vikubwa,wengi wakiwa ni mabinti wadogo na wa umri wa kati,yaani kati ya miaka 17-38. Wanawake hivi vitambi mnavitoa wapi?yani matumbo makubwa utadhani ujauzito kumbe ni kitambi. Hii ni hatari kwa kweli.
tuanzie hapa we umejuaje kama ni ktambi na sio ujauzito!!!
 
Bora tuu uelimishwe ila usijecheka dada zako wala mama zako....Wanasema usicheke mkunga....

1. Vitambi wakati mwingine vinatokana na vyakula wadada wanavyokula
2. Vitambi wakati mwingine vinatokana na matatizo mbali mbali ambayo Mungu huwajaalia wanawake hasa yahusuyo Uzazi kufanyiwa operation , Vizazi kuwa na mavitu ndani nk. Mahospitali yetu bado hayajakuwa na wataalam kama nchi za wenzetu.
3. Vitambi wakati mwingine hutokana na Mwanamke akiwa ashazaa hapendi kufunga tumbo
4. Wengine vitambi vya Ujauzito walivyojazwa na Kaka zako au Baba zako..

Ushanifahamu naonaeeehh so usiwacheke dada zako kwa hayo...Km vipi una mkeo jaribu kumuuliza pia





Jana jioni nilienda kumtembelea jamaa yangu kigamboni,tukiwa kwenye jengo la kungoja mtumbwi/pantoni nikawa nimekaa kwenye viti vilivyomo mle ndani karibu na sehemu ya kuingilia. Hivyo nikapata fursa nzuri ya kuangalia kila anaeingia,leo pia nimefanya hivyo kule upande wa pili.

Asilimia kubwa ya wanawake niliowaona pale wana vitambi,tena vitambi vikubwa,wengi wakiwa ni mabinti wadogo na wa umri wa kati,yaani kati ya miaka 17-38. Wanawake hivi vitambi mnavitoa wapi?yani matumbo makubwa utadhani ujauzito kumbe ni kitambi. Hii ni hatari kwa kweli.
 
Hili tatzo kw ssa yaan hata watto wa kiume unakta mtu kafuga tumbo hilo mpka bas afu anatak kuzngka nyuzi 360!ABADANI,yaan unakta mtu na boy wake wote wana matumbo makubwa ts nt gd n look and health..1 pungza kias na rakaa za mlo 2 fany mazoez 3 pungza unywaji wa bia n.k
 
tambi rahaaa ukivaa top ukiweka na mkanda lakaa sawa bhana ukute na mr nae ana tambi raha

haki sawa kote kote....ndevu nazo siku hizi kibao
 
Sina hata mpango wa kujisumbua kukitoa,nyama choma na bia nimwachie nani,kwani kuna atakaenidai kikiwapo
 
Kipindi cha nyuma walikuwa hawana vitambi ni wale wachache waliojifungua kwa operation. Sijui ni haya machips mayai.
 
wengi wanavyo na hawavipendi lakini hawachukui hatua kuviondoa. ziko njia za kumaliza kitambi ndani ya mwezi lakin ndo hivyo lazima utoe jasho kukitoa. in short kinaharibu shapes za miili si kwa wadada tu bali hata kwa wakaka
 
Unakuta mwanamke ana ktambi then kavaa kitop kinambanaa ukiangalia mtumbo ulivo.... hata kama nlikuwa nna ham. Inakata.. fanyen mazoez, punguzen minyama... kitamb kinatoka ila kinahitaj juhud
 
Ke wengi wanaamini mazoezi ni kwa wanaume.

Yani unaweza kumkuta ke ana kitambi, afu maziwa yapo apo apo, kifua apo apo, tumbo apo apo, makalio apo apo na mgongo apo apo.

Sana sana kwa ke vibonge, kujisafisha wenyewe mtihani, fulu manongo, fulu kiharufu. Afu anabana pua na kusema hakuna waoaji!

Teh teh teh!

apo apo=hapo hapo.
 
Back
Top Bottom