Wanawake na uvaaji wa suruali chanzo cha uasherati!!!

Wanawake na uvaaji wa suruali chanzo cha uasherati!!!

Uasherato ni tabia ya mtu binafsi
 
[Mtu hujaribiwa na tamaa zake mwenyewe, ukisha kuwa na mawazo ya kiasherati bas utaishia humo.
View attachment 119867


#Majanga ,
Naomba nifunguke kidogo.
Huko nyuma kuanzia miaka ya 1990 masuala ya uasherati yalikuwa katika kiwango cha chini sana tofauti na sasa ambapo rate ya uasherati imepamba moto sana! Nimekuwa nikijiuliza nini chanzo cha hali hii?

Katika observation yangu ya kawaida nimegundua kuwa uvaaji wa suruali kwa wanawake unaongeza matamanio ya zinaa/ngono kwa mwanaume. Mara nyingi wanawake waliovaa suruali kama za jinsi, na vile vitambaa vyepesi hushawishi tendo la ngono bila kuangalia umri!

Hiki ni chanzo cha ongezeko la uasherati ambacho kinakadiriwa kuwa kati ya asilimia 45% mpaka 65%.

Mwanamke anayejiheshimu na kujistri kwa heshima hawezi kuvaa suruali itakayomfanya mwanaume avutike kufanya naye mapenzi kwani kwa kufanya hivyo atakuwa anajitafutia kutongozwa na wanaume wengi ndiyo maana wanawake wanasemwa kuwa ndiyo waliosababisha uasherati kuongezeka na siyo wanaume!
 
Kuna kaukweli fulani,ndiyo maana ni ngumu kumtamani aliyevaa kama ninja.
 
Kama suruali zinachokea ufanyaji wa ngono nadhan kipind watu wanavaa vibwaya na boobs wazi ingekuwa inachochea ubakaji kabisa! Lakin haikuwa hvyo, watu walikuwa na maadili na nidhamu! Walithamin miili na maumbile yao!

Tatizo la kuongezeka kwa vitendo vya uasherati ni kuporomoka kwa maadili, ngono kama tendo limepungua thamani! Ndo mana watu wanadandiana tu na kugusanisha matumbo ovyo ovyo! Siku hizi usije thubutu kusema unamtania kuomba penzi! Yan mtongozo wa siku ya kwanza huo huo safari hadi chumbani! Thamani ya tendo na maumbile hakuna ndio mana tunaendelea kuruka ruka kupata ladha tofauti manake zipo na upatikanaji hauhitaji juhud kubwa!

Yan kujirahisisha na kutokujithamin na kuheshimu maumbile ndio chanzo kikubwa cha uasherati. Ukiongezea na utandawaz unaepelekea kujiachia wazi akili na miili as kunashusha maadili na utu wetu.
 
View attachment 119867


#Majanga ,
Naomba nifunguke kidogo.
Huko nyuma kuanzia miaka ya 1990 masuala ya uasherati yalikuwa katika kiwango cha chini sana tofauti na sasa ambapo rate ya uasherati imepamba moto sana! Nimekuwa nikijiuliza nini chanzo cha hali hii?

Katika observation yangu ya kawaida nimegundua kuwa uvaaji wa suruali kwa wanawake unaongeza matamanio ya zinaa/ngono kwa mwanaume. Mara nyingi wanawake waliovaa suruali kama za jinsi, na vile vitambaa vyepesi hushawishi tendo la ngono bila kuangalia umri!

Hiki ni chanzo cha ongezeko la uasherati ambacho kinakadiriwa kuwa kati ya asilimia 45% mpaka 65%.

Mwanamke anayejiheshimu na kujistri kwa heshima hawezi kuvaa suruali itakayomfanya mwanaume avutike kufanya naye mapenzi kwani kwa kufanya hivyo atakuwa anajitafutia kutongozwa na wanaume wengi ndiyo maana wanawake wanasemwa kuwa ndiyo waliosababisha uasherati kuongezeka na siyo wanaume!

kwahio wizi nao unaongezeka kwa sababu kuna ongezeko kubwa la vitu vizuri[magari/simu/ipads ect] na sio tabia ya mtu kuwa mwizi tu.....
 
suruali haimaanishi mvaaji ana tabia mbaya, ni nyie tu wanaume na HULKA ZENU....
 
suruali haimaanishi mvaaji ana tabia mbaya, ni nyie tu wanaume na HULKA ZENU....

ni kweli maana kuna wanaovaa ushungi ni balaa maana wanagawa hiyo K kama nini vile
 
Kuna zaidi ya suruali......... siku hizi urahisi wa mawasiliano.. mitandao....... simu nk, vimechangia sana hali hii.
 
Soma Bible inasemajee?? KumTorati : 22: 5
Na: Kum Torati : 21: 18- 21.
 
Aah wapi we sema men wa kizazi hiki have no scruples at all

Ukimwona alovaa hijabu, suruali, kimini ilimradi ashaitwa ni mwananke mnawaza tu umpateje ili ungoneke

Kwa kwenda mbele
 
Mh...Labda hizi za siku hizi.......

vpl.jpg

Mmmmmh mwana hapo ramani yote wazi.....gusa unate......!
 
suala Zima la mavazi in relation to kuleta matamanio depends on so many factors....ila username ya mleta mada inaonesha kuwa anajaribiwa kirahisi sana...(joke)
 
Kikubwa ni ku control hisia zako na kama utakua busy sana na mambo yako huwezi fikilia mapenzi, suruali isiwe visingizio sana
 
Back
Top Bottom