Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,050
#Majanga ,
Naomba nifunguke kidogo.
Huko nyuma kuanzia miaka ya 1990 masuala ya uasherati yalikuwa katika kiwango cha chini sana tofauti na sasa ambapo rate ya uasherati imepamba moto sana! Nimekuwa nikijiuliza nini chanzo cha hali hii?
Katika observation yangu ya kawaida nimegundua kuwa uvaaji wa suruali kwa wanawake unaongeza matamanio ya zinaa/ngono kwa mwanaume. Mara nyingi wanawake waliovaa suruali kama za jinsi, na vile vitambaa vyepesi hushawishi tendo la ngono bila kuangalia umri!
Hiki ni chanzo cha ongezeko la uasherati ambacho kinakadiriwa kuwa kati ya asilimia 45% mpaka 65%.
Mwanamke anayejiheshimu na kujistri kwa heshima hawezi kuvaa suruali itakayomfanya mwanaume avutike kufanya naye mapenzi kwani kwa kufanya hivyo atakuwa anajitafutia kutongozwa na wanaume wengi ndiyo maana wanawake wanasemwa kuwa ndiyo waliosababisha uasherati kuongezeka na siyo wanaume!