Wanawake na umbea wa saluni

Wanawake na umbea wa saluni

Mie sijui kusuka ila nimeweka mtu, kwhy huwa sina time ya kushinda huko kupiga umbea na bla bla zingine.
Sawa mkuu, napenda wanawake wanao jielewa kama wewe, mungu akupe utambuzi zaidi ya ulio nao sasa maana wanawake wengi wanaharibiwa na makundi!!!
All the best
 
Sikumbuki mara ya mwisho kwenda saloon... Sipendi kushikwa kichwani na watu wa saloon!
 
Sasa mnaonaje wanaume wanaosuka kwenye saluni za kike......
Nao wanakuwa na mambo ya kike ya kuwasema wanawake au inakuwa hii wakuu......
 
Tabu ya Saluni yote ya nini? Tafuta wigi kama la Spika mstaafu Anamakinda mkabidhi mkeo alivae miaka kumi, kama yule mama alidumu nalo miaka kumi mkeo hashindwi.
 
Kwa nini changamoto ktk maisha haziishi???

Tabu ya Saluni yote ya nini? Tafuta wigi kama la Spika mstaafu Anamakinda mkabidhi mkeo alivae miaka kumi, kama yule mama alidumu nalo miaka kumi mkeo hashindwi.
 
Back
Top Bottom