Wanawake na mbinu zenu za ushindi

Bob12

JF-Expert Member
Feb 27, 2017
11,422
58,787
Habari wana jamvi,
Kuna watu wanaamini unaweza ukamtumia mwanamke Milion 1 kushinda vita ya dunia, ikiaminika kwamba mwanamke ana mbinu za ajabu sana ktk kufanikisha jambo.

Kuna vijistori nilivyobahatika kuvisoma kama Samson mwanaume wa shoka mwenye miraba minne na aliyesumbua sana maelfu ya watu katika vita lakini maadui wakamtumia mwanamke wa kawaida sana kiumbo lakini mwenye mbinu za ushawishi zilizotumika kumfanya Samson kutaja asili ya nguvu zake.

Sulemani alikuwa mcha Mungu na mwenye wingi wa hekima lakini hekima zake hazikufua dafu kwa mwanamke mpaka mwanamke anamfanya sulemani kuabudu miungu.

Ukija kwenye maisha halisi hata mtoto anaposhindwa kuzungumza na baba kwa hitaji flani, yule mtoto akimtumia mama tu ujue game imeisha.

Mimi nakumbuka enzi za utoto nilimuudhi baba mpk akaniambia hakuna kula msosi wa usiku ila ilipofika usiku mama akanipa ndoo nikachote maji nje ila akaniita kando akaniambia ndani ya ndoo kuna sahani ya chakula, kijana nikapiga msosi kwa mbinu ya mama.

Hizi mbinu za ushindi najiuliza wanawake mnazipata wapi hata sipati jibu
 
yaan umeleta hadithi za mwanzo ambazo hukuwepo.. halaf ukamalizia na stori ya mtaan ukajigeuza kuwa yako... we jamaa hebu njoo na fact hili siyo jukwaa la jokes..!

Kwani uongo lakini?
 
Mwanamke ni mzuri sana akiamua kuwa mzuri.. Na huyo huyo ni hatari sana akiamua kuwa mafia...
 
akili zote za wanawake hazina umbo sahihi.....na hakuna mwanaume anaejua mahitaji sahihi ya mwanamke.....

wanakipaji cha kuchanganya "ukatili na huruma kwa wakati mmoja....
 
Yaani nmeisoma kwa utuliiiiivu lkn ulivomalizia tuu cjui sahani ya wali maarage wooiiii nkaona umeiga mahali ........
Ungeishia tu kwa hao wa kwenye maandiko
 
akili zote za wanawake hazina umbo sahihi.....na hakuna mwanaume anaejua mahitaji sahihi ya mwanamke.....

wanakipaji cha kuchanganya "ukatili na huruma kwa wakati mmoja....
Ndo mana unaambiwa utumie akili sana kuishi naye
 
Yaani nmeisoma kwa utuliiiiivu lkn ulivomalizia tuu cjui sahani ya wali maarage wooiiii nkaona umeiga mahali ........
Ungeishia tu kwa hao wa kwenye maandiko
Dah kuna vitu vingi sana nilikua namuona mam anavi sort out zaidi ya hvo
 
Wanawake wana akili za kushughulika na swala lililo mbele yao kwa haraka mno kushinda wanaume.
Mfano ukiwa na binti kichochoroni akatokea mlezi au mzazi wake akawashtua yeye ndiyo huwa wa kwanza kutoa jibu tena litaendana na mazingira mliyopo unaweza sikia "We Nyakwesi unafanya nini hapo?" "Namuuliza Castr kama kesho shule kuna mechi kama leo ili nibaki nyumbani nichote maji."

Tatizo huwa kuzitumia hizo akili kushughulika na maswala mbali mbali ya kimaisha au mapenzi.
 
Wanawake wana akili za kushughulika na swala lililo mbele yao kwa haraka mno kushinda wanaume.
Mfano ukiwa na binti kichochoroni akatokea mlezi au mzazi wake akawashtua yeye ndiyo huwa wa kwanza kutoa jibu tena litaendana na mazingira mliyopo unaweza sikia "We Nyakwesi unafanya nini hapo?" "Namuuliza Castr kama kesho shule kuna mechi kama leo ili nibaki nyumbani nichote maji."

Tatizo huwa kuzitumia hizo akili kushughulika na maswala mbali mbali ya kimaisha au mapenzi.
Umetisha Castr.
Ndo mana katika historia za uvumbuzi wa vitu hatuwaoni ila kwenye ujanja ujanja wanatisha
 
Umetisha Castr.
Ndo mana katika historia za uvumbuzi wa vitu hatuwaoni ila kwenye ujanja ujanja wanatisha
Wako vizuri balaa wakati huo mwanaume akili ishahama ipo chini, ila kwenye uvumbuzi wamo pia mfano bulletproof ni mwanamke alifanya yake
 
Habari wana jamvi,
Kuna watu wanaamini unaweza ukamtumia mwanamke Milion 1 kushinda vita ya dunia, ikiaminika kwamba mwanamke ana mbinu za ajabu sana ktk kufanikisha jambo.

Kuna vijistori nilivyobahatika kuvisoma kama Samson mwanaume wa shoka mwenye miraba minne na aliyesumbua sana maelfu ya watu katika vita lakini maadui wakamtumia mwanamke wa kawaida sana kiumbo lakini mwenye mbinu za ushawishi zilizotumika kumfanya Samson kutaja asili ya nguvu zake.

Sulemani alikuwa mcha Mungu na mwenye wingi wa hekima lakini hekima zake hazikufua dafu kwa mwanamke mpaka mwanamke anamfanya sulemani kuabudu miungu.

Ukija kwenye maisha halisi hata mtoto anaposhindwa kuzungumza na baba kwa hitaji flani, yule mtoto akimtumia mama tu ujue game imeisha.

Mimi nakumbuka enzi za utoto nilimuudhi baba mpk akaniambia hakuna kula msosi wa usiku ila ilipofika usiku mama akanipa ndoo nikachote maji nje ila akaniita kando akaniambia ndani ya ndoo kuna sahani ya chakula, kijana nikapiga msosi kwa mbinu ya mama.

Hizi mbinu za ushindi najiuliza wanawake mnazipata wapi hata sipati jibu
Huyu mama aliekusaidia chakula alikuwa na motisha ya kulea mtoto wake. Hujawai sikia wakina mama wanalala njaa ili watoto wapate japo mlo mmoja?

Kwa upande mwingine, wanawake wanasifiana sana na kupata umaarufu kwa kadiri ya nguvu za kuteka wanaume. Kuishi maisha ya juu zaidi ya wenzao, mara nyingi hupendelea kusimuliana na kufundishana jinsi ya kuteka wanaume. Hiki ndicho chanzo cha ujanja mwingi. Wanawake wasio na marafiki wengi au (exposure) huwa n washamba kupitiliza.

Wanaume kwa upande wetu ukiwa mjanja sana utaitwa tapeli au mjuaji-mjuaji. Sidhani kama kuna mwanaume anapenda haya majina.
 
Wako vizuri balaa wakati huo mwanaume akili ishahama ipo chini, ila kwenye uvumbuzi wamo pia mfano bulletproof ni mwanamke alifanya yake
Kumbe bullerproof ni uvumbuzi wa mwanamke,ni nani huyo?
Mana tushazoea kuwasoma kina newton,Einstein nk
 
Huyu mama aliekusaidia chakula alikuwa na motisha ya kulea mtoto wake. Hujawai sikia wakina mama wanalala njaa ili watoto wapate japo mlo mmoja?

Kwa upande mwingine, wanawake wanasifiana sana na kupata umaarufu kwa kadiri ya nguvu za kuteka wanaume. Kuishi maisha ya juu zaidi ya wenzao, mara nyingi hupendelea kusimuliana na kufundishana jinsi ya kuteka wanaume. Hiki ndicho chanzo cha ujanja mwingi. Wanawake wasio na marafiki wengi au (exposure) huwa n washamba kupitiliza.

Wanaume kwa upande wetu ukiwa mjanja sana utaitwa tapeli au mjuaji-mjuaji. Sidhani kama kuna mwanaume anapenda haya majina.
Ee bhana ee
Kumbe hawa viumbe wanapeanaga maujanja aisee.
Kwel kbs mwanamke ambae hapendi kujichanganya anakua wa kawaida sana kiujanja ujanja na ndo mana wanawake wa uswaz ni wajanja sana
 
Mwanamke amepewa uwezo wa pekee katika kumtambua mwanaume! Na akikuangalia usoni tu,keshakujua unataka nini sema anakupotezea tu.
 
Mwanamke amepewa uwezo wa pekee katika kumtambua mwanaume! Na akikuangalia usoni tu,keshakujua unataka nini sema anakupotezea tu.
Hata wale wanaume wanaopenda kupiga wake zao km mke akiamua kumpoteza inakua ni rahisi sana,anakuvizia tu uzame shimoji afu anakudungua
 
Back
Top Bottom