Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 875
Hivi gari kitu gani bana.... mbona mnatokwa povu???? Siku hizi magari mbona kawaida tu.... Au mnadhani wanawake wote wenye magari wamenunuliwa poor you!!!!!
Kwani imeandikwa wapi wanaume pekeyao ndio wanapaswa kumiliki magari????
Khaaaa.... mtuwache tupumuweee miaka 900 .... Sosi cacico
Gari zinahongwa kila siku Tz hiii..Tena wivu kama wa sh... we si unaona huyo aliyeuliza umehongwa?hivi kuna mwanaume anayeonga gari tz ya leo?me nachujua wadada wanapewa tu ya kutembeleaa bila card.Hapo kwenye saa hahhah ngoja nisiseme zaidi
Or perhaps I would have made my own car exclusive for me to attract women.
ni kwel madem weng sana wanapenda magar, mm nilkuwa na kadem kangu tunapendana tu kiana mara akatokea jamaaa ana gar mara amtoe out na gar, mara amfundishe kuendesha gar mwisho wa ck nikaaachwa kweny mitaaaaaaa
hahahaaaaa simaanishi wavunje miguu au wakate mitama hapana, wajua kutembea migulu baja au kutembea kama simama dede, ndo ninayomaanisha yaani unatembea ila kama kiuno hakina ushirikiano na miguu kutokana na utamu wa dushe. Niliishuhudia harusi za zamani wakati kuna inna party bibi harusi siku ya inna party alikuwa anatembea polepole migulu baja kuonesha jana yake jumamosi alipewa kitu cha kweli. sku hizi hamna inna party.
Wheelchairs siyo kwa ajili ya waliovunjika miguu au kukatwa mtama tuu.
Wheelchairs zinatumika pia na watu ambao viuno vyao havina ushirikiano na miguu kutokana na sababu mbalimbali.
Hebu mcheki Lady Gaga on her lavish gold plated wheelchair.
Yaani ungewapata wengine mie wala maana bila kunishurutisha panapo 6*6 hata uje na air force one walaaah sikuoni kama mwanaume naweza hisi ni shosti mwenzangu tuu, ndo nilivyo.
Well, kama nitawapata hao wengine, would I still be bothered chasing you?
I am sure most men would prefer a woman who can have a marathon sex and still walk.
Wengine we prefer doing it before going to events na siyo baada ya kutoka huko.
I can't imagine naongozana na wewe kwenye special event huku ukitembea pole pole kisa hakuna network kati ya kiuno na miguu eti kwa sababu ya sex.
I will better go on my own ukizingatia kuna uwezekano mkubwa wa kumpata mwingine hapo barabarani as I will be in my car anyway.
heheheheheheheheeeee nimecheka vya kutosha naenda lala nowits enough for today,
Umecheka vya kutosha?
So, I was here to amuse you like clown?
OK, then nitakuwepo hapa kesho pia.
So, don't forget to tip your computer on this thread.
But it will all depend kama kucheka kwako vya kutosha hakujaharibu network ya kiuno chako na miguu maana as you know I'm always in my car. lol.
gari lako linanihusu nini hadi nikupende???!!! lol.
Hivi gari kitu gani bana.... mbona mnatokwa povu???? Siku hizi magari mbona kawaida tu.... Au mnadhani wanawake wote wenye magari wamenunuliwa poor you!!!!!
Kwani imeandikwa wapi wanaume pekeyao ndio wanapaswa kumiliki magari????
Khaaaa.... mtuwache tupumuweee miaka 900 .... Sosi cacico
Kama gari halikuhusu basi siku ukinikuta na hii bodaboda yangu lazima utanipenda tuu.
Kama na pikipiki nayo haikuhusu basi ..... (soma hapo kwenye tanki la mafuta). lol.
hahahahaaaaa umeanza as usual daaah!! u know what, one day I will trap you with a glass of wine mixed with amarula no wonder dreads zako zote zitakatika heheheheee ntachekaje with ur new look face.
Kama gari halikuhusu basi siku ukinikuta na hii bodaboda yangu lazima utanipenda tuu.
Kama na pikipiki nayo haikuhusu basi ..... (soma hapo kwenye tanki la mafuta). lol.