Wanawake na Magari!

Wanawake na Magari!

Magoya2000

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2017
Posts
641
Reaction score
1,265
Habari wana jamii! Kwanza poleni kwa msiba wa Mzee Kingunge. Niingie kwenye maada. Katika pita pita kwenye familia nyingi nimegundua kama familia (mke, mme) wakiwa na gari moja basi hilo gari mara nyingi litakuwa linatumiwa na mke. Wanaume wengi hawajali hivyo yeye ataamua kupata daladala. Shida nyingine inayoonekana kwenye jamii wanawake wengi wakiwa wanamiliki magari wanakuwa jeuri na viburi hawana heshima kwa waume zao. Mfano mzuri nilishuhudia jamaa yangu ndoa yao ilivunjika baada ya mkewe kununua gari tu. Ijapokuwa jamaa nae ana gari lake lakini mwanamke alianza jeuri. Je mchawi wa wanawake ni magari? Karibuni tujadili.
 
sijui lakini... nikilinganisha home... mama alikuwa hatumii gari sana kama mzee... na mzee alimnunulia gari lake.. enzi tupo primary... mama hata kwenda nalo kazini anaona shida.. anadandia lift ya mzee...

nikiangalia dada zangu hata wao japo wameolewa wanakaa makwao.. ila wanapanda sana madaladala na bajaji.. kuliko hata gari zao..

wanawake wengi wana shobo na magari ujanani tu... ila wakiwa matured hawanaga shobo .. kwanza wabahili kuweka mafuta wanaona hasara.. wanakomaa na lifti za waume zao tu..

mwanamke anavyozidi kukua umri wake ndivyo anavyozidi kuwa mbahili wa hela zake hii ni tofauti na mwanaume.. ujanani anakuwa mbahili ila umri unavyozidi ongezeka anazidi kupunguza ubahili
 
Kuna kaukweli hapa, mwanaume anaweza hata kununua baiskeli ya kupiga misela ya karibu wakati mama ana pack saloon na iko dakika tano kutoka home
Ndio hivyo Eclat! Nashindwa kuelewa yaani hata mtu ukipita na Gari tu wanawake wanakutolea macho.
 
Uchawi wa mwanamke Gari!!! Gari ndo ulimbo wa kunasia wanawake warembo!!! Uwe na Mke mzuri halafu hujamtafutia gari lazima umegewe!!!! Dadeeek!!!
 
Habari wana jamii! Kwanza poleni kwa msiba wa Mzee Kingunge. Niingie kwenye maada. Katika pita pita kwenye familia nyingi nimegundua kama familia (mke, mme) wakiwa na gari moja basi hilo gari mara nyingi litakuwa linatumiwa na mke. Wanaume wengi hawajali hivyo yeye ataamua kupata daladala. Shida nyingine inayoonekana kwenye jamii wanawake wengi wakiwa wanamiliki magari wanakuwa jeuri na viburi hawana heshima kwa waume zao. Mfano mzuri nilishuhudia jamaa yangu ndoa yao ilivunjika baada ya mkewe kununua gari tu. Ijapokuwa jamaa nae ana gari lake lakini mwanamke alianza jeuri. Je mchawi wa wanawake ni magari? Karibuni tujadili.

Ni kweli inawezekana.......kweli kabisa
 
Habari wana jamii! Kwanza poleni kwa msiba wa Mzee Kingunge. Niingie kwenye maada. Katika pita pita kwenye familia nyingi nimegundua kama familia (mke, mme) wakiwa na gari moja basi hilo gari mara nyingi litakuwa linatumiwa na mke. Wanaume wengi hawajali hivyo yeye ataamua kupata daladala. Shida nyingine inayoonekana kwenye jamii wanawake wengi wakiwa wanamiliki magari wanakuwa jeuri na viburi hawana heshima kwa waume zao. Mfano mzuri nilishuhudia jamaa yangu ndoa yao ilivunjika baada ya mkewe kununua gari tu. Ijapokuwa jamaa nae ana gari lake lakini mwanamke alianza jeuri. Je mchawi wa wanawake ni magari? Karibuni tujadili.
Mimi Nafikiri hii inategemea Kwa mfano Unakuta Mwanamke ana gari Vitz Au Paso halafu Mimi nina Rav 4 sasa jeuri itaanzia wapi?
 
Mimi Nafikiri hii inategemea Kwa mfano Unakuta Mwanamke ana gari Vitz Au Paso halafu Mimi nina Rav 4 sasa jeuri itaanzia wapi?
Chezea wanawake wewe, kuna mke wa jamaa yangu alinunua kisuzuki kidogo (nimekisahau jina) ila alivyokuwa anamletea mme wake nyodo ni hatari
 
Kwangu mimi, the most best cars are:

1) Lexus LS 460
2)Cadillac CT6
3)Audi S8
4)Jaguar XJ
5)BMW Alpina B7
6)Maserati Quattroporte
7)Aston Martin Rapide S
8)Mercedes-Benz AMG S65

Ungetuwekea na bei mkuu
 
Kwangu mimi, the most best cars are:

1) Lexus LS 460
2)Cadillac CT6
3)Audi S8
4)Jaguar XJ
5)BMW Alpina B7
6)Maserati Quattroporte
7)Aston Martin Rapide S
8)Mercedes-Benz AMG S65
Aiseeeeee.
 
Kwangu mimi, the most best cars are:

1) Lexus LS 460
2)Cadillac CT6
3)Audi S8
4)Jaguar XJ
5)BMW Alpina B7
6)Maserati Quattroporte
7)Aston Martin Rapide S
8)Mercedes-Benz AMG S65
Wakati huo ww unatumia harrier
 
Back
Top Bottom