Wengi huamini kuwa kuna dawa za mapenzi.na katika kufanya hivi wengine wamewasababishia wenzi wao matatizo vikiwemo vifo.mimi nawashauri wanawake wanaotumia ushirikina kwenye mapenzi waache mara moja.kama kuna matatizo kwenye ndoa zao wamuombe MWENYEZI MUNGU atawasidia.