Loyal_Merchant
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 623
- 267
Hivi kwa nini wanawake wengi hasa wa kiafrika wanaongoza kutumia ushirikina ili kurutubisha mapenzi.? Je ni kwamba hawajiamini wawapo katika mahusiano au ni kasumba waliyojijengea..? Maoni please.