JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,966
Kuna wakati mimi kama mwanaume huwa nawahurumia sana wanawake, wanachangamoto nyingi na hasa hii ya mahusiano, hawana uamuzi wa mwisho, hata katika kuolewa mara nyingi anayefanya maamuzi ni mwanaume, mambo mengi mwanamke yeye anasikilizia tu matokeo, kama mchezo wa kubahatisha vile, unakuta mwanaume ana wanawake wengi, akitaka kuoa anaanza kuchambua, wakati huo mwanamke anadhani yeye ndo chaguo la kwanza kumbe la mwisho, poleni sana kina dada.
Leo nataka kuongelea changamoto ya kushiriki tendo la ndoa, inatokea mwanamke anatongozwa anakubali ila ikifika hatua ya mwanaume kutaka mavituzi hapo ndo mtihani unapokuwa kwa mwanamke, anabaki akiwaza nimpe au nisimpe, nikimchelewesha kuna wanawake wenzangu wao wanatoa tu na wengine hadi wanajiuza, nikimbania nitakuwa na uhakika gani hatapata mwanamke mwingine akampa?
Mwisho anaamua kumpatia mwanaume mlaghai tu kwa kuhofia akibana sana wenzake wanatoa, inakuwa kama mashindano, wewe ukikazania kuuza kwa bei ya juu wenzako wanapunguza bei.
POLENI SANA WANAWAKE.
Leo nataka kuongelea changamoto ya kushiriki tendo la ndoa, inatokea mwanamke anatongozwa anakubali ila ikifika hatua ya mwanaume kutaka mavituzi hapo ndo mtihani unapokuwa kwa mwanamke, anabaki akiwaza nimpe au nisimpe, nikimchelewesha kuna wanawake wenzangu wao wanatoa tu na wengine hadi wanajiuza, nikimbania nitakuwa na uhakika gani hatapata mwanamke mwingine akampa?
Mwisho anaamua kumpatia mwanaume mlaghai tu kwa kuhofia akibana sana wenzake wanatoa, inakuwa kama mashindano, wewe ukikazania kuuza kwa bei ya juu wenzako wanapunguza bei.
POLENI SANA WANAWAKE.