Wanawake mwafa na makalio fake

Rais2020

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
3,248
Reaction score
5,539
Nani aliwaambia wanaume wanataka makalio makubwa??? Endeleeni tu kukuza makalio. Unafikiri wanaume wanataka wanawake wenye makalio makubwa kwa ajili ya vivutio vya utalii.
Daktari akimuongezea makalio MTEJA wake
.
Nimeogopa kuiweka video baada ya kufanyiwa procedure.
 
Sasa makalio yako kwa tumbo? mbona hiyo mishindano yachomwa kwatumbooo?
 
Mmh aisee hakuna watu vigeu geu kama wanaume. Mara inye kubwa ndio mpango mzima. Saiv tena unasema vingine
Inye kubwa kwani kimekuwa kivutio cha utalii? Uwe na inye kubwa au ndogo ila iwe natural. Siyo ya kuunda.
 
Nyumba ni choo.....ila choo sio nyumba.......................................
 
Mmmh..yataka moyo mie akaah! Km huna huna tuu tabu yote ya nini kutiwa lisindano lote Hilo

Wanawake wenzangu hawa viumbe(wanaume ) kuwaridhisha ni ngumu tusijitese kwa kiasi hichi

Mungu tusaidie
 
Mmmh..yataka moyo mie akaah! Km huna huna tuu tabu yote ya nini kutiwa lisindano lote Hilo

Wanawake wenzangu hawa viumbe(wanaume ) kuwaridhisha ni ngumu tusijitese kwa kiasi hichi

Mungu tusaidie
[emoji4] love you
 
Huyo mtu amekufa au!!! yaani chuma lote hilo linaishia mwilini!!! kazi mnayo!!!
 
nikiangalia video hii napata headache aghrrr ukitoka hapo unakaa utande upande
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…