Wanawake Mungu anawaona mjue

Wanawake Mungu anawaona mjue

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,516
Reaction score
14,173
Watanzania Salam tuachane nazo tu.

Juzi jioni natoka kazini nikakutana na binti mmoja ambaye kiumbo alinivutia! Ikabidi nimsalimie.

Mara baada ya salaam nilimwomba tuzungumze japo 5minutes, Kwanza alikataa akasema ana haraka anawahi kwenda kupika ametoka sokoni kununua mboga,Lakini baada ya kumbembeleza sana alikubali kunisikiliza nami baada ya kujitambulisha tuliongea mengi naye akanieleza sio mwenyeji wa hapa ila alikuwa masomoni ndo amehitimu chuo na amekuja kumsalimia mama yake mkubwa.

Nilimwomba tuwe wapenzi akasema atanifikiria, Tulipeana contact then tukaagana.Usiku nkampigia hakupokea nkajua amesinzia nikamtumia sms "good knite" jana asubuhi akanibeep nkampigia akasema amepata safari ya ghafla anataraji kurudi kwao Shinyanga hivyo nikamwomba ikiwezekana tuonane kabla hajasafiri akasema mchana atakuwa free, kwa kua kwangu ni mbali na kwao alishauri nitafute guest mitaa ya karibu ili asichelewe kurudi nyumbani jioni.

Saa 8 unusu nshalipia chumba na kumuelekeza nilipo akasema anamalizia kuoga anakuja, saa 9 nampigia simu hapokei baadaye anapokea anasita kuongea kisha anakata na kunitumia sms "honey niko njiani nakuja, Je uko chumba no ngapi?" Nikamjibu "niko no 9"Nkiwa chumbani nikapata wazo la kwenda duka la hapo jirani kununua condom, ile natoka dukani namwona demu anashuka kwenye tax akiwa na wanaume wanne!

Nilisita kidogo na hawakuniona,demu alitangulia halafu wale jamaa wakasimama nje kama wanapanga jambo flani kisha wakaingia ndani! Demu akanipigia na kusema"baby nimefika chumbani hakuna mtu naona kuna vinywaji tu! Uko wapi? nikamjibu "niko toilet nakuja , Nimejaribu kuchungulia naona wale jamaa wamesimama koridoni kama kuna mtu wanamsubiri! Kwa bahati nzuri sikuja na usafiri wangu hivyo nlizima simu nikaondoka kimyakimya nkachukua tex mpaka home!

Sijui nini kiliendelea huko lakini sa hivi nawasha simu nikakuta ujumbe huu "I'm sorry baby,sikuwa na nia mbaya ila wakati nataka kuja mme wangu alinikuta na kugundua nawasiliana na wewe,amenipiga sana na kulazimisha nimlete gesti ulipo ndo tukaja ila nashukuru Mungu umenusurika alikodi watu watatu! I love Mme wangu akisafiri ntakutafuta"

Wana MMU Wenzangu najiuliza huyu alikuwa na maana gani aliponiambia hajaolewa ndo kamaliza chuo na anaishi kwa mamkubwa! Namshukuru Mungu kuninusuru na balaa hili mpaka sasa nimelala sina hamu na hawa mabinti!
 
downloadfile.jpg
 
Mmekutana siku moja tu ila siku ya pili mnaitana honey!

Kwanini watu hamthamini maisha yenu? Mwanamke wa kuokota tu njiani tayari unataka kuchovya!

Pamoja na hili tukio ila najua hutakoma,utarudia tu tena.
 
Watanzania Salam tuachane nazo tu.

Juzi jioni natoka kazini nikakutana na binti mmoja ambaye kiumbo alinivutia! Ikabidi nimsalimie.
Mara baada ya salaam nilimwomba tuzungumze japo 5minutes, Kwanza alikataa akasema ana haraka anawahi kwenda kupika ametoka sokoni kununua mboga,Lakini baada ya kumbembeleza sana alikubali kunisikiliza nami baada ya kujitambulisha tuliongea mengi naye akanieleza sio mwenyeji wa hapa ila alikuwa masomoni ndo amehitimu chuo na amekuja kumsalimia mama yake mkubwa.

Nilimwomba tuwe wapenzi akasema atanifikiria, Tulipeana contact then tukaagana.Usiku nkampigia hakupokea nkajua amesinzia nikamtumia sms "good knite" jana asubuhi akanibeep nkampigia akasema amepata safari ya ghafla anataraji kurudi kwao Shinyanga hivyo nikamwomba ikiwezekana tuonane kabla hajasafiri akasema mchana atakuwa free, kwa kua kwangu ni mbali na kwao alishauri nitafute guest mitaa ya karibu ili asichelewe kurudi nyumbani jioni. Saa 8 unusu nshalipia chumba na kumuelekeza nilipo akasema anamalizia kuoga anakuja, saa 9 nampigia simu hapokei baadaye anapokea anasita kuongea kisha anakata na kunitumia sms "honey niko njiani nakuja, Je uko chumba no ngapi?" Nikamjibu "niko no 9"Nkiwa chumbani nikapata wazo la kwenda duka la hapo jirani kununua condom, ile natoka dukani namwona demu anashuka kwenye tax akiwa na wanaume wanne! Nilisita kidogo na hawakuniona,demu alitangulia halafu wale jamaa wakasimama nje kama wanapanga jambo flani kisha wakaingia ndani! Demu akanipigia na kusema"baby nimefika chumbani hakuna mtu naona kuna vinywaji tu! Uko wapi? nikamjibu "niko toilet nakuja , Nimejaribu kuchungulia naona wale jamaa wamesimama koridoni kama kuna mtu wanamsubiri! Kwa bahati nzuri sikuja na usafiri wangu hivyo nlizima simu nikaondoka kimyakimya nkachukua tex mpaka home! Sijui nini kiliendelea huko lakini sa hivi nawasha simu nikakuta ujumbe huu "I'm sorry baby,sikuwa na nia mbaya ila wakati nataka kuja mme wangu alinikuta na kugundua nawasiliana na wewe,amenipiga sana na kulazimisha nimlete gesti ulipo ndo tukaja ila nashukuru Mungu umenusurika alikodi watu watatu! I love Mme wangu akisafiri ntakutafuta"
Wana MMU Wenzangu najiuliza huyu alikuwa na maana gani aliponiambia hajaolewa ndo kamaliza chuo na anaishi kwa mamkubwa! Namshukuru Mungu kuninusuru na balaa hili mpaka sasa nimelala sina hamu na hawa mabinti!
Acha umalaya dogo utakuja kudhalilishwa kwa huo ushetani wako
 
Agiza chai ya rangi au maziwa nitalipa
---
Huwa tunafanya hizi, Chai ukiipenda, unaifanya kuwa video short story script kama hii:
---
Title: How a Pretty Face Almost Got Me Killed

[Video Opens with High Tension]
Narrator:
"I'm telling you this because it could save your life. A text message saved mine, but not before I was seconds away from walking into a trap set by a woman I had just met. You need to hear this story, so you can spot the red flags I almost missed."

[Music shifts to a more relaxed, storytelling tone]
Narrator:
"It started innocently, like it always does. I was leaving work yesterday evening when I saw her. She had a look that just pulled you in. So, I did what any confident man would do—I went over and said hello.
I asked for five minutes. She said she was in a hurry, just back from the market, needed to go cook. Classic brush-off. But I persisted, and she softened. She told me she wasn't from here, just graduated, visiting her grandmother. It all sounded so sweet, so innocent.
I asked for her number, and she gave it to me, saying she'd 'think about' us. That night, my call went straight to voicemail. I sent a 'good night' text, figuring she was asleep.
The next morning, she calls. 'I have a sudden trip,' she says, 'going back home to Shinyanga.' The urgency in her voice felt... off. But she suggested we meet before she left. She said she’d be free in the afternoon.
Here's red flag #1 I should have caught: she insisted I get a guest room near her place because mine was 'too far.' She wanted to control the location.
At 2:30 PM, I'm checked into room #9. I text her. She replies, 'Finishing my shower, on my way.' The anticipation builds. But then, silence.
At 3:00 PM, I call. No answer. Then my phone rings. It's her. She picks up, but before she can speak, I hear a man's muffled voice in the background before she quickly hangs up.
A moment later, a text: 'Honey, I’m on my way. What room number are you in?'
My heart started pounding. That voice... why did she hang up? I replied, 'Room 9.'
Suddenly, feeling uneasy, I decided I needed some air... and some condoms, just in case. As I walked out of the corner store, I saw it. The taxi pulling up. Her getting out. And four men getting out with her.
They didn't see me. She walked into the guest house first. The men lingered outside, whispering, planning. Then, they followed her in.
My phone buzzed. It was her. 'Baby, I'm in the room. It's empty, just some drinks. Where are you?' Her voice was sickly sweet.
My blood ran cold. I texted back, 'In the toilet, be right there.' I peeked through the corridor window. I saw them. The four men, standing guard outside my room, waiting.
I didn't have my car. Thank God. I turned my phone off, slipped out the back, and got the first taxi I could find. My mind was racing the whole way home.
Hours later, I dared to turn my phone back on. There was one new message. It wasn't from her. It was the confirmation of the trap I had just escaped. It read:
'I'm sorry. My husband found your texts. He beat me. He forced me to lure you to that room. He hired those men to teach you a lesson. I'm glad you weren't there. When he travels, I'll find you.'
She wasn't a recent graduate. She wasn't single. She was bait.
So I ask you, my brothers, what would you have done? That feeling in your gut is your first line of defense. Never ignore it.
[Call to Action]
Narrator:
"If this story helps even one person avoid a dangerous situation, it's worth it. Share this video with a friend who needs to hear it. And let me know in the comments: What's the biggest red flag you've ever seen?"
Feedback submitted
 
Back
Top Bottom