dedon
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 1,507
- 2,065
- Thread starter
- #61
kosa ni kumkaribisha ndani so akaona na id yangu ya kazin coz niko mwenyewe bachelor naiekaga tu ovyo ovyo so siku anayokuja sikuwaza kuitafuta niificheSiku za mwanzo goma usilipeleke mjengoni kwako.
Anakuja hadi ofisini inamaanisha ulimpa details zako muhimu zote. Pia inamaanisha hana aibu wala staha kuna siku atakuanzishia varangati hautategemea.
Rookie mistake.