Wanawake mtatuua tuoneeni huruma

Wanawake mtatuua tuoneeni huruma

dedon

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2015
Posts
1,507
Reaction score
2,065
habar zenu members

Weeken moja nliamua nikanyooshe miguu kidogo nione mji mpya (maana nimeamishiwa mkoani) nikaenda ufukweni nilikaa huku nashushia maji yangu tu baridi (maana mm sio mtumiaji wa bia) pemben alikaa mdada wa kiarabu mzuri tu hapo hapo ikabdi nijiongeze maana genye zilishaanza kupanda kichwani nikapiga story na dogo then nikamuomba namba ya simu akaanza kujisemelesha unajua smartphone yangu nimeiacha nyumbani maana mda wote yy alikua anatumia tochi (sim hua sio kipaumbele changu kwenye kusaka papuchi) kwahiyo nikawa namuitikia anipe tu namba maana nilikua nakaribia Kusepa akanielekeza na anapokaa

weeken hii ijumaa kwakua ilikua sikukuu nikampigia tuonane basi nikamuambia ww panda daladala tu ukifika stand utanishtua (huku daladala kama tax yan mnaeza kupanda watano tu hamna masuala ya daladala kujaa) doh cha ajabu akaniwakia mm sio wa kupanda dala dala nikaona sio shda nikamwambia chukua basi boda boda ikulete hm mm ntalipa ukifika hapo ndo akakubali huyu dada anapokaa naeza nikasema middle na lower class people ndo wanaish so kitendo cha yy kukataa dala dala kilinishangaza

basi bimdada akafika akaingia gheto baada ya mda nikaanza kuomba mchezo hapo hapo utafikiri nilimruhusu atangaze shda ghafla akaniambia hana smartphone imepotea mwez wa tatu huu,kodi yake ya chumba inakaribia kuisha ikabd nikubali tu ili nipewe papuchi baada ya mech akataka tudiscuss ntamsaidiaje shda zake nikamuahidi subiri mwanzon mwa huu mwez december (ujinga ambao nisingeweza kuufanya yan dem mara ya kwanza unanipa bill zaidi ya laki 4 sio kama sina bali ni ungekua ujinga

tatzo sasa huyu dem ananitafuta kweli nitimize ahadi zangu sometym anakuja hadi ofisin huku mkoani nisipomtafuta kwa sim kitu kingne ameniomba 30k anashda nayo yan hii pembeni ya kodi na hela ya smartphone

mm acha tu niwe mwanaume suruali lk sichuniki kirhisi tu,,jipangen sana na wadada mnavokuj kuomba hela
 
Umeyataka mwenyewe Na nyege zako
 
Tayari... Mkuu we mpotezee
 
Aiseeeeh,
Huu Uzi, labda nilale kwanza nikiamka nisome comment naweza nikapata uelekeo.

Ila hadi sasa, naona mshale wa geji unasoma empty kwenye huu Uzi.
 
Mwambie tuu kua huna mambo yaishe,wala usijipe tafran ya nafsi,ulimuona mapema sana ni mwanamke wa aina gani na ukakubali kumuonyesha mpaka kwako bila hata kufikiria mara2,sasa umesha pata unachotaka unaanza kumsomesha,mwanamme kweli hua hazungushi maneno mwambie huna ajipange..ila sikunyengine chukua type yako nna imani wapo..
 
Maji uliyokunywa ndo tatizo. Yalikupandisha genye ukajiongeza.
 
Ndo shidq ya kuforce mapenzi,,,utachunwa tu,,ila kama mpo kwenye mapenz ya kweli na wote mnajishulisha hapo hakuna kuchunana ni kussuportiana tu(msibishe kwamba hakuna mapenz ya kweli sikuhz)
 
Kina dada mmezindi hivi mkitongozwa mnatuona banki kuu inajileta
 
habar zenu members

Weeken moja nliamua nikanyooshe miguu kidogo nione mji mpya (maana nimeamishiwa mkoani) nikaenda ufukweni nilikaa huku nashushia maji yangu tu baridi (maana mm sio mtumiaji wa bia) pemben alikaa mdada wa kiarabu mzuri tu hapo hapo ikabdi nijiongeze maana genye zilishaanza kupanda kichwani nikapiga story na dogo then nikamuomba namba ya simu akaanza kujisemelesha unajua smartphone yangu nimeiacha nyumbani maana mda wote yy alikua anatumia tochi (sim hua sio kipaumbele changu kwenye kusaka papuchi) kwahiyo nikawa namuitikia anipe tu namba maana nilikua nakaribia Kusepa akanielekeza na anapokaa

weeken hii ijumaa kwakua ilikua sikukuu nikampigia tuonane basi nikamuambia ww panda daladala tu ukifika stand utanishtua (huku daladala kama tax yan mnaeza kupanda watano tu hamna masuala ya daladala kujaa) doh cha ajabu akaniwakia mm sio wa kupanda dala dala nikaona sio shda nikamwambia chukua basi boda boda ikulete hm mm ntalipa ukifika hapo ndo akakubali huyu dada anapokaa naeza nikasema middle na lower class people ndo wanaish so kitendo cha yy kukataa dala dala kilinishangaza

basi bimdada akafika akaingia gheto baada ya mda nikaanza kuomba mchezo hapo hapo utafikiri nilimruhusu atangaze shda ghafla akaniambia hana smartphone imepotea mwez wa tatu huu,kodi yake ya chumba inakaribia kuisha ikabd nikubali tu ili nipewe papuchi baada ya mech akataka tudiscuss ntamsaidiaje shda zake nikamuahidi subiri mwanzon mwa huu mwez december (ujinga ambao nisingeweza kuufanya yan dem mara ya kwanza unanipa bill zaidi ya laki 4 sio kama sina bali ni ungekua ujinga

tatzo sasa huyu dem ananitafuta kweli nitimize ahadi zangu sometym anakuja hadi ofisin huku mkoani nisipomtafuta kwa sim kitu kingne ameniomba 30k anashda nayo yan hii pembeni ya kodi na hela ya smartphone

mm acha tu niwe mwanaume suruali lk sichuniki kirhisi tu,,jipangen sana na wadada mnavokuj kuomba hela
Papuchu ya laki 3 ktk kipind cha awamu ya tano ?
 
Sasa wewe mbona umeomba kyuma mapema???? Y yeye asikuambie shida zake acha ubahili hakuna cha bure zaidi ya salamu
 
Ngoja waje watype hiyo humu mtandaoni, povu lao la hatari .

Piga chini tu huyo.
 
Back
Top Bottom