Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Si bora hata kakutwa anapendwa ingekuwa ndo kaambiwa nenda salama si ndo angezimia?
Si bora hata kakutwa anapendwa ingekuwa ndo kaambiwa nenda salama si ndo angezimia?
mmh..!.kama mimi ningekufia uvunguni nisingetoka!!.
hahahaa afadhali kajua anapendwa lol
Nitaijaribu siku moja........
Nitaijaribu siku moja........
Ndo muache kutishia kuja.mba wakt umeshikwa tumbo la kuh.ara!
MstahikiMeya heshma kwako mkuu. Nimecheka sana!stori nzuri.