WANAWAKE MSITUBANIE

RASCO BOY

JF-Expert Member
Jul 29, 2018
428
485
Utafiti Uliofanywa na Chuo Kikuu cha New York Umesema kwamba Wanaume ambao hufikia mshindo angalau mara 21 kwa mwezi hupunguza hatari ya kupata saratani ya tezi dume.

Tupeni jamani tusije pata Tezi Dume kwa hali hii ya Tanzani. Ooh nimekupa jana tu na leo unataka tena, Oooh me sijisikii kufanya, Oooh Sijui mimi nimechoka...

Jamani mtatuua na Tezi Dume tuoneeni uruma...
 
Alafu tezi dume ninwatu wenye asili ya weusi hahahah.


Nakipimo chake, nikuingizwa kidole kwa Rectum inatafutwa km imevimba hahahahah


Ndo sasa ukutane na Mzazimbar ,utasikia """Yaheee wataka kunifira yaheeee""
 
Utafiti Uliofanywa na Chuo Kikuu cha New York Umesema kwamba Wanaume ambao hufikia mshindo angalau mara 21 kwa mwezi hupunguza hatari ya kupata saratani ya tezi dume.

Tupeni jamani tusije pata Tezi Dume kwa hali hii ya Tanzani. Ooh nimekupa jana tu na leo unataka tena, Oooh me sijisikii kufanya, Oooh Sijui mimi nimechoka...

Jamani mtatuua na Tezi Dume tuoneeni uruma...


Ndiyo maana wanawake wako wengi hapa duniani ili kukidhi matatizo haya. Mke ama demu wako hataki kukupa kale kamchezo tukufu unakwenda kwa nyumba ndogo. Hii ndiyo maana halisi ya kuwa na nyumba ndogo, usitegemee kula chakula hicho hicho kila siku utavimbiwa, jaribu kuwa jasiri wa kupenda kubadilisha mboga.
 
KUKOSA/ KULA. PAPUCHI KULINIFANYA. NIKAKOSA MORALI YA KUSOMA PINDI NILIPOKUWA FORM SIX 2016 MPAKA HIKANILETEA. MATOKEO HAHIFU KABISA YA KIDATO CHA SITA .....MWAKA ULIOFUATIA 2017 NI KA RESEAT ACSEE . NILIKUWA MWENDO MDUNDOO KUGONGA PAPUCHI/KULA .MUKA.......MUDA NIKIHITAJI MAANA NILIKUWA .KITAA . NA GIRLS WENGI WALINIELEWA .HISIA ZANGUU . ASEEEEE SHUBAAAAMITTTT . NKAFAULU KWA KIWANGO SAFIII KABISA .NOW NIPO . UD nafurahia maisha. Na .WATOTO WA HAPA SINZA MUGABEEE SEC . DAILY





ASEEEEEEEEEEEE3 . KUNA UMUHIMU WA KUSIKILIZANA HISIA WAKUU. (ME&KE)
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom