Wanawake msipende sana, mtaishia kuumizwa

Wanawake msipende sana, mtaishia kuumizwa

nasema waumizwe tu mana hakuna namna nyingine
 
Ukweli mtupu.. ila mwanamke nae hawezi kukurupuka kupenda from nowea hua wanadai mapenzi wenyewe. ila inabidi tuwe makini. Asante sn MDUARA!!
 
Tena ukimkuta ambaye umri unasoma alarm daah! Huwa wanaingia kichwakichwa unamkanyaga siku ukimweka blacklist ful kudata
 
Mkuu mimi nina mke na namheshimu na yeye ananiheshimu sana nimeandika maana wanawake mnahaingaika sana na mapenzi
nadhani ungemjulisha na mkeo kuhusu mambo hayo ya kupenda penda aache kukupenda wewe duara.
 
Mkipendwa kijuujuu mnalalamika. Mkipendwa mazima mnalalamika pia. Kuna tatizo somewhere
 
Yani nami nina tatizo la kupenda sana nini dawa yake? Kupenda kidogo au kumzuga mtu uwa siwezi embu mleta mada nipe mbinu nami niwe mbadidu.....
 
Yani nami nina tatizo la kupenda sana nini dawa yake? Kupenda kidogo au kumzuga mtu uwa siwezi embu mleta mada nipe mbinu nami niwe mbadidu.....


Umeshaambiwa wao ni viduara so mpendwa wacha Mara moja
 
Wanawake mnajifanya mnapenda sana wanaume mwisho wa siku mnaishia kuumizwa.

Yaani uhusiano kidogo mtu anakukaa moyoni mpaka basi kila mara kupiga simu mara kuulizia amekula nini kumtambulisha kwa marafiki yeye kwanza hana habari na wewe.

Imefikia kipindi wanawake mmekuwa wahongaji kuzidi wanaume mpaka mahari mnatulipia, mkishaumizwa mnaanza kulialia na kubadilisha status WhatsApp mara am single Mother na ujinga mwingine.

Kuweni makini na mahusiano ya siku hizi sisi wanaume ni miduara hatutabiriki msipobadilika mtaendelea kulizwa kila siku.

Yangu ni hayo tu upendo wa kweli ni wa mama tu.
Labda mwanaume wewe. Ila sisi wenzako tunathamini tupendwapo
 
Ndo maana na nyie mkipigwa mizinga mkubali tu msije kulalamima hapa maanake hata we mwenyewe ushakiri upendo wa kweli ni wa mama tu so hapa pochi tu and life goes on mkuu Molembe
 
Ni kweli mana tangu nimeanza kutongoza totoz sijawahi kuchinjiwa baharini na bahati mbaya kila ninayekuwa naye naulizwa ndoa lini yaani ni full kugandwa.acheni kupenda ghafla kiasi hicho pengine lengo la mwanaume ni kuonja ladha yako tu.
 
Eeeeeh daaah kwangu hiyo ni automatical yan huwa sijui kupenda kidogo na kwel nkiumizwa huwa naumia sana tyu but siwez kuacha kupenda sana sabu ni hulka yangu
 
Back
Top Bottom