kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
Kukuulizia muda wa kula siyo lazima awe anakupenda. Ni mtego wa kukuchuna kesho.
Hulka yenu wanawake.Eeeeeh daaah kwangu hiyo ni automatical yan huwa sijui kupenda kidogo na kwel nkiumizwa huwa naumia sana tyu but siwez kuacha kupenda sana sabu ni hulka yangu
Kuumizwa au kujiumiza.Nimejaribu nashindwa......sema tu pia nina uwezo wa ku recover mapema baada ya kuumizwa....
KuumizwaKuumizwa au kujiumiza.
Kwenda huko...kuumia ndio kujifunza wacha niumizwe 😀😀😉😛
HayaKuumizwa
Sababu mie nampenda kumbe mwenzangu hanipendi hauoni kuwa yeye ndo ananiumizaHaya
Kwanini?
Mkuu mimi ni mtu wa tofauti kabisa tena bonge la baba.Maelezo yako yanatoa picha tabia yako jinsi ilivyo dhidi ya wanawake
Endelea kuwa mduara
Mkuu mimi ni mtu wa tofauti kabisa tena bonge la baba.
Tena ukimkuta ambaye umri unasoma alarm daah! Huwa wanaingia kichwakichwa unamkanyaga siku ukimweka blacklist ful kudata
labda ua unatongoza bar maidsNi kweli mana tangu nimeanza kutongoza totoz sijawahi kuchinjiwa baharini na bahati mbaya kila ninayekuwa naye naulizwa ndoa lini yaani ni full kugandwa.acheni kupenda ghafla kiasi hicho pengine lengo la mwanaume ni kuonja ladha yako tu.
Wanawake mnajifanya mnapenda sana wanaume mwisho wa siku mnaishia kuumizwa.
Yaani uhusiano kidogo mtu anakukaa moyoni mpaka basi kila mara kupiga simu mara kuulizia amekula nini kumtambulisha kwa marafiki yeye kwanza hana habari na wewe.
Imefikia kipindi wanawake mmekuwa wahongaji kuzidi wanaume mpaka mahari mnatulipia, mkishaumizwa mnaanza kulialia na kubadilisha status WhatsApp mara am single Mother na ujinga mwingine.
Kuweni makini na mahusiano ya siku hizi sisi wanaume ni miduara hatutabiriki msipobadilika mtaendelea kulizwa kila siku.
Yangu ni hayo tu upendo wa kweli ni wa mama tu.
hao wa eat and run ndio wale walio na uhakika na umri kwamba bado unaita.mmhhh huyo kaanza mapenzi uzeeni, hujui wanawake nao sahivi hawajipunji wanapenda eat and run wakiwa na hamu ukiweka cjui red list anakucheka tuu
Wewe cmp acha kumbwelambwela hapa kuonja ladha umeambiwa chungwa hilo,khaa watu wengine sijui wakoje acheni kuwadisvalue akina dadaNi kweli mana tangu nimeanza kutongoza totoz sijawahi kuchinjiwa baharini na bahati mbaya kila ninayekuwa naye naulizwa ndoa lini yaani ni full kugandwa.acheni kupenda ghafla kiasi hicho pengine lengo la mwanaume ni kuonja ladha yako tu.