Wanawake msipate tabu tena, hivi ndivyo tulivyo

Wanawake msipate tabu tena, hivi ndivyo tulivyo

We jamaa upo mbali sana na uhalisia.
Kwamba asitanue miguu hadi aone sura za wazazi?
Kwani ana date au ataolewa na hizo sura za wazazi?
Kukutana na wazazi wa mchizi ni suala zito na linaonesha msimamo zaidi
 
Unawapotosha Mkuu. Hakuna Mwanaume Miaka Hii Anayejitambulisha Kwa Wazaze Wa Mke Kabla Ya Kugegeda.

Nani Anataka Kununua Mbuzi Kwenye Gunia? Lengo Kuu La Ndoa Ni Tendo La Ndoa Lenye Raha. Unaoa Mwanamke Hujamfunua? Ukikutana Na Kisima Kimejaa Maji?
Unaalika majirani wakusaidie kuyachota, Uchoyo sio mzuri
 
he he! hata uwape njia 10000000... watakuja tu maana hakuna sheria kali hapa duniani kama sheria za kimazingira! nature will talk GENYE will make her come to me! usione mtu anaruka geti nakupita viunzi vya ulinzi si pepo ndugu wajua.. kumbuka when they have one we have more than one!
mkuu lbd uwaambie wazingatie uzazi wa mpango na kinga tu
Ataruka ukuta hadi lini? Itafikia muda nayeye atahitaji kuwa na kwake aanzishe familia,
Ila kama haitaji ndoa basi yeye aruke hata milima sio mbaya
 
Mkuu sasa kwa sisi tusiooa tufanyaje! Maana pesa tumekosa,pombe hatunyi wacha walau tusogeze maisha!
Kusogeza maisha sio mbaya ukisogeza maisha na yule uliye na plann nae za baadae..
So mchukue ukamtambulishe kwenu
 
Unaweza ukaonyeshwa wazazi na mahali mkapokea na bado ukaingia getho kwa matumaini na ukakimbiwa tu.njia sahihi lia na mungu wako tu wadada,wakaka mungu yupo usijaribu muombe haswa kila mmoja kwa imani yake
Sasa hilo ni tatizo jengine, lakini ukiangalia kwa uwiano utagundua waliotambulishwa na kuolewa ni wengi zaidi ya wasiotambulishwa
 
Hawa watu hawatabiriki kabisaa, mie huwa nabaki kuamini mume mwema anatoka kwa Bwana. Akija kama sio wako, sio wako tuuu maana Mungu lazima akuonyeshe baadhi ya dalili mbaya ukimganda unalo janga hilo
Sakayo wacha uoga, Mzazi hawezi akampa mtoto wake nyoka ingali aliomba samaki
 
Hata uwaambie nn getto lazima waje maana hamna namna wanaume tumebarikiwa ushawishi mkubwa sana
Lakini jitahidi usitumie weakneases zao kama njia ya kuwaumiza, kumbuka kuna KARMA
 
Unaweza ukaonyeshwa wazazi na mahali mkapokea na bado ukaingia getho kwa matumaini na ukakimbiwa tu.njia sahihi lia na mungu wako tu wadada,wakaka mungu yupo usijaribu muombe haswa kila mmoja kwa imani yake
Pa1
 
Ni Rahisi zaidi kumjua Mwanaume aliyefall in Love
na mwili wako na sio moyo wako kuliko
kumtambua MZee wa Kichaga kwa pozi lake la
kutembea, suruali zake za kushonesha, miguu
myembamba na gari yake aina ya Pick Up kwa ajili
ya kubebea nyasi... Unataka kujua nani ana future nani hana???
Msikilize maongezi yake...Msikilize Priority zake....Msikilize
anakuomba nini kwanza mnapoanza tu...
Msome
tamaa zake machoni...halafu kataa kupanua
miguu...
UTAONA WAZI WAZI....Haihitaji kupiga ramli
wala kikombe cha babu wa Samunge...
Mwanaume anayeomba usujudie kitanda chake
cha gheto kabla hujaona sura za wazazi wake
muogope, Future yako itamezwa na kuta 4 za Gheto
lake na usitegemee zaidi...You wanna know a Real
Man with a future with you??
CLOSE YOUR LEGS
NIMEMALIZA..!!
mkuu hizi enzi za wazazi zilishapita.......kwanza cku hzi wanawake wengine ndio wanaanza kutaka mchezo
 
Unawapotosha Mkuu. Hakuna Mwanaume Miaka Hii Anayejitambulisha Kwa Wazaze Wa Mke Kabla Ya Kugegeda.

Nani Anataka Kununua Mbuzi Kwenye Gunia? Lengo Kuu La Ndoa Ni Tendo La Ndoa Lenye Raha. Unaoa Mwanamke Hujamfunua? Ukikutana Na Kisima Kimejaa Maji?

Unafunga pump then unayauza haswa sehemu zenye shida ya maji. Jomba utapata mahela balaa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom