Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,128
Wale wadada wasioisha kudharau wanaume wasio na elimu ama wao hawawataki ama wanashangaa na kuwacheka rafiki zao wenye wapenzi wasioenda kidato wanapaswa kupata somo kutokakwa mwandishi nguli wa vitabu Eric James Shigongo.
ERIC JAMES SHIGONGO ANA MKE MWENYE ELIMU YA MSTERS LAKINI YEYE ALIKOMEA DARASA LA SABA TU. ALIKUWA AKIONGEA VOICE OF AMERICA KWENYE STRAIGHT TALK TO AFRICA ON AFRICAN WRITERS.
KAMA HAITOSHI HATA DARASANI ALIKUWA NDIO KILAZA WA DARASA KWAKUSHIKA MKIA NA HATA KUPATA SIFURI KIASI MPAKA AKAWA AMEPEWA JINA LA MADASO( hili ni neno la kisukuma likimaanisha nguo iliyoisha na kuchakaa ambayo haifai tena kuvaliwa, kwa kiswahili rahisi ni sawa na tambala, na jina hilo kwa haraka haraka katika kisukuma linamtambulisha shigongo kama mtu asiye na faida yoyote).
Mabinti wapendeni wapenzi wenu bila kujali hali yao kama mlishakubaliana toka mwanzo, just fight for life.
Hizi habari za kukengeuka kila kila mnapofika chuo na kujiona mmesoma sana na kuwatupilia mbali wapenzi wenu kisa wao hawakupenya kufika chuo ama hawakusoma si suluhisho la mapenzi wala maisha.
Stori nyingine ni inspiration kwa vijana na hapa si mahala pake.
ERIC JAMES SHIGONGO ANA MKE MWENYE ELIMU YA MSTERS LAKINI YEYE ALIKOMEA DARASA LA SABA TU. ALIKUWA AKIONGEA VOICE OF AMERICA KWENYE STRAIGHT TALK TO AFRICA ON AFRICAN WRITERS.
KAMA HAITOSHI HATA DARASANI ALIKUWA NDIO KILAZA WA DARASA KWAKUSHIKA MKIA NA HATA KUPATA SIFURI KIASI MPAKA AKAWA AMEPEWA JINA LA MADASO( hili ni neno la kisukuma likimaanisha nguo iliyoisha na kuchakaa ambayo haifai tena kuvaliwa, kwa kiswahili rahisi ni sawa na tambala, na jina hilo kwa haraka haraka katika kisukuma linamtambulisha shigongo kama mtu asiye na faida yoyote).
Mabinti wapendeni wapenzi wenu bila kujali hali yao kama mlishakubaliana toka mwanzo, just fight for life.
Hizi habari za kukengeuka kila kila mnapofika chuo na kujiona mmesoma sana na kuwatupilia mbali wapenzi wenu kisa wao hawakupenya kufika chuo ama hawakusoma si suluhisho la mapenzi wala maisha.
Stori nyingine ni inspiration kwa vijana na hapa si mahala pake.