Wanawake: Mnapendea nini mwanaume anaeweza kupika?

Wanawake: Mnapendea nini mwanaume anaeweza kupika?

Oooiii mbwembwee tuu za mjini. Mieeee akhaa nampenda a man who know to fight money,true love and gegedo la kunishbshaa... hizo kukuuuk sijui wapishi wapoo na mi mwenyewe naliweza na sijui eti nikiumwaa ntampa maelekezo hata akichemsha vyote sawaaa mradi viive....

aisee!!!!!
 
Me naomba tu asiwe anajua kupika kunizidi mimi. Maana kuna vidume vinakaangiza hadi inaonekana kama wakike huwa unachemsha tu michemsho mwee
 
Nikiumwa najua kuna Mtu wa kunisaidia, halafu raha sana yani unaamka unakuta breakfast tayari, au unarudi kibaruani unakuta msosi tayari...tunajisikia raha kama nyie mnavyojisikia raha kupikiwa vizuri.

Swadaktaaaa
 
Tena ukute anajua kupika hasa weee utajirambaa

Kuna wanaume wa ukweli mahodari sana utapenda yaani unasaidiwa hadi kuosha vyombo
 
Oooiii mbwembwee tuu za mjini. Mieeee akhaa nampenda a man who know to fight money,true love and gegedo la kunishbshaa... hizo kukuuuk sijui wapishi wapoo na mi mwenyewe naliweza na sijui eti nikiumwaa ntampa maelekezo hata akichemsha vyote sawaaa mradi viive....

Safi Sanaa nimekupenda gafla
 
Japo ni vizuri kujifunza kupika ila usiwe kila siku unapika mwanamke kaa
 
Me naomba tu asiwe anajua kupika kunizidi mimi. Maana kuna vidume vinakaangiza hadi inaonekana kama wakike huwa unachemsha tu michemsho mwee

Kuna wengine ni shidaa, mi mwanamke aliye jua kupika atapata shida sana kwasababu mama amenifundisha haswa kupika.
 
Jana Wife Aliumia Mguu Nikaingia Jikoni Nikatengeneza Nyama Rost Na Ugali Murua.We Naogopa Kunyimwa Cha Asubuhi !!!
 
Back
Top Bottom