Humu ni mburudiko tuWalahi leo nime enjoy jamii forum kumbe na hv vitu vipo
Mi nkajua ni fb tuu na instagram ila tatzo huku kumjua mtu ni issueHumu ni mburudiko tu
Soon utakuja na thread nimepata bwana.. Ambaye ndio mimi....Mpenda story nisiejua kufumba km nyeusi nasema tu Hii nyeusi sipendi kumchokoza mtu, naishi vizuri kabisa km mtoto yani unanisakama Leo kesho nakusalimia
Hivi kule PM unanichomesha mahindi ujue....
Mi napenda sana jukwaa la siasa haya nayakutaga tuu hapo kwenye kibaraza nayadandiaUmaarufu ni juhudi yako tu wala hamna kugawiwa kama teuzi
bata kavaa laizoni naona umemkumbuka muhenga mwenzio NiceMbona bata anapanda baiskeli???
Dina mwanaume na mwanya wapi na wapi buanaaa...Sura yake iwe ya kuvutia,kuna wanaume wanavutia macho akikutazama,mwanya,midomo yake laini,, kisha mwili umejaa kiasi kimazoezi,,akivaa shati au tisheti vinamfiti vyema lazima nipagawe,,halaf wakati wa mapenzi akiwa ananichombeza huku ananifuck na mikono yake ya nguvu imekamata kiuno changu huku ananinyonya maziwa na shingo ,mim hoii
Unakuta ka mwanaume kembamba jamanii
Kuna wanaume na mwanya wakitabasam ,,,ila sio wote hupendezaDina mwanaume na mwanya wapi na wapi buanaaa...
Mwanya awe nao binti...
Mi mwenzenu hata sijui napenda nini nipo nipo tu.
mkuu una spidi Kali zaidi ya watu wasiojulikanaSoon utakuja na thread nimepata bwana.. Ambaye ndio mimi....
Hongera kapeace
Sio leo nimejiunga na id nyingi sana toka 2013 nikiwa kwenye harakati za kuanza chuo nkawa nasahau password kwanza ilikua ngumu... Ila hii kweli ni ya huo mda.. Mi jamii forum nilikua nasoma nakusepaHalafu kinundu sikuelewi ujue
Upo JF toka 2016 lakini unaonekana ndio umeamka leo kutoka usingizini, jambo ambalo Kapeace yuko hatua 1000000 mbele
Nadhan ntafanikiwamkuu una spidi Kali zaidi ya watu wasiojulikana
Hahahaha... Mpwa mi sijakusoma ujue...Dina mwanaume na mwanya wapi na wapi buanaaa...
Mwanya awe nao binti...
Nipo mpwa na walimbwende wanafunguka...