Wanawake mnaotembea nusu uchi mnakera...

Wanawake mnaotembea nusu uchi mnakera...

Arash charlz

Member
Joined
Apr 23, 2014
Posts
50
Reaction score
1
Hivi kwa hali ya kawaida utajisikiaje{mwanaume} kumwona dada yako yupo nusu uchi akiwa baa na shemeji yako?

Hebu na nyie wanawake hebu fungukeni huwa mnajisikiaje mnapo kuwa barabarani na umevaa nguo zinazo acha wazi matiti na mapaja na ndugu zako wakiume wanakuona?

"Kwenda na wakati ni sketi juu ya magoti? Shughuli kwenye kuketi unavyo hangaika na kiti!!!
 
fupi ni juu ya goti? mbona mpododo hata uwe juu ya goti bado ni mrefu tu?
 
Hivi kwa hali ya kawaida utajisikiaje{mwanaume} kumwona dada yako yupo nusu uchi akiwa baa na shemeji yako?
Hebu na nyie wanawake hebu fungukeni huwa mnajisikiaje mnapo kuwa barabarani na umevaa nguo zinazo acha wazi matiti na mapaja na ndugu zako wakiume wanakuona?
"Kwenda na wakati ni sketi juu ya magoti? Shughuli kwenye kuketi unavyo hangaika na kiti!!!

find ur own space to live.
 
wanawake wengi wameshadata.. sijui wanadhani kila mwanaume a**mamishi? ndo wanatuchukulia kama wao.
kwa akili zao .nadhani Wabakwe tu. kwani badala hata ya kwenda sokoni kununua suruali wananunua skin tait ndo wanavaa.. ajabu wengine wanavitambi na miguu hawana lakini hawajali wapo tu. eti wametoka seksi. Na ni wabishi kuwashauri si ktu kwa wanawake wenzao hata mwanaume hawamsikilizi wanadhani unataka kuwazeesha na kuwaona washamba. Siku hizi nimeona kuna dada zangu fulani ...wanatuma smart phone na kuweka picha waliyoacha vitovu, matiti mapaja nje nje na mikao kama vile wanatangaza movie ya porn kwenye jarida la play boy.
 
Wana low self esteem mkuu..ni wakusaidiwa
 
mbona na nyie wanaume mnakaa vifua wazi hatulalamiki au mnafikiri hatulioni hilo au ss hatuna hisiA
 
Weka picha

 
Last edited by a moderator:
Yani mimi nikivaa hivyo mr ndio anapenda sijui nifanyeje najua sio vema lkn mwenye vyake ndio anataka iwe ivyo aaha ha ha ha ha
 
Yani mimi nikivaa hivyo mr ndio anapenda sijui nifanyeje najua sio vema lkn mwenye vyake ndio anataka iwe ivyo aaha ha ha ha ha

Unafurahia kutembea nusu uchi wakati yeye kavaa vizuri?...kweli wanawake mngekuwa na akili timilifu kama za kwetu tungepata tabu
 
Mtu akiwa anafahamu Mungu anampenda na mwili wake ni hekaru la Mungu hawezi liacha wazi na kudharaulika.
 
Yani mimi nikivaa hivyo mr ndio anapenda sijui nifanyeje najua sio vema lkn mwenye vyake ndio anataka iwe ivyo aaha ha ha ha ha

nakuunga mkono kabisaa hata mi shemeji yako anapenda saaanaa
 
Wanasubiri nini kutembea uchi wa mnyama kama Mbuzi?
 
nakuunga mkono kabisaa hata mi shemeji yako anapenda saaanaa

Hamna mwanaume anayempenda mkewe halafu akamruhusu avae kiajabu...
Hivi kuna mtu anayemiliki diamond halafu anaitembeza barabarani kihasarahasara tu? akiibiwa?
Vyenye thamani hulindwa.....fikiria mara mbili.
 
Hamna mwanaume anayempenda mkewe halafu akamruhusu avae kiajabu...
Hivi kuna mtu anayemiliki diamond halafu anaitembeza barabarani kihasarahasara tu? akiibiwa?
Vyenye thamani hulindwa.....fikiria mara mbili.

hapo nimeeleza ukweli mume wangu hapendi nivae nguo ndefu hata kidogo, na hapo ndipo nilipofikiria mara mbili mpaka nikaandika hivi
 
Mimi napenda mke wangu akivaa sketi fupi.

Magauni sitaki
 
Back
Top Bottom