Arash charlz
Member
- Apr 23, 2014
- 50
- 1
Hivi kwa hali ya kawaida utajisikiaje{mwanaume} kumwona dada yako yupo nusu uchi akiwa baa na shemeji yako?
Hebu na nyie wanawake hebu fungukeni huwa mnajisikiaje mnapo kuwa barabarani na umevaa nguo zinazo acha wazi matiti na mapaja na ndugu zako wakiume wanakuona?
"Kwenda na wakati ni sketi juu ya magoti? Shughuli kwenye kuketi unavyo hangaika na kiti!!!
Hebu na nyie wanawake hebu fungukeni huwa mnajisikiaje mnapo kuwa barabarani na umevaa nguo zinazo acha wazi matiti na mapaja na ndugu zako wakiume wanakuona?
"Kwenda na wakati ni sketi juu ya magoti? Shughuli kwenye kuketi unavyo hangaika na kiti!!!