Wanawake mnaotembea nusu uchi mnakera...

Wanawake mnaotembea nusu uchi mnakera...

Kuvalia vimini waume wa wenzio (hicho kiatu kivue)))))
 
Usiache kuvaa nguo ndefu hivyo vimini waachie vicheche_MwanaFA.
 
Kama m2 akivaa ivo anakukera na ww tembea na MAGUNIA ukimuona m2 yupo 0.5 uchi umufunike nalo.................
 
Joto ! mwanangu !
Dada zetu wanakula vizuri siku hizi mwili unakuwa na joto sana ndio maana wanapunguza nguo !
 
wanasema mavazi ya mtu yanaelezea tabia ya mtu..sa sijui ni kweli
 
Ivi waadzabe nao kwenye hili wanawekwa kwenye kundi gani!?
 
Back
Top Bottom