Wanawake mnaisemeaje hii kauli ya Diva?

Wanawake mnaisemeaje hii kauli ya Diva?

My friend..vyote kwa pamoja aiseeh..

Ila likija swala la ndoa nitaangalia upendo wa dhati ukisindikizwa na vijihela kwa mbaaaali ili mambo yapate kwenda vizuri
Usipolizika kitandani umtafute ali bod boda akupe mambo,vyote fanyike tu kwenu wanawake.
 
Huyu c ndio alikua Anataka mahali ya mil 500, au kastuka anaona jua linaenda kuzama soon
 
Pesa ndio chanzo cha nyege. Kuna watu walikuwa malaya wanabadilisha wanawake kila kukicha ila baada ya kufulia hata jogoo hawiki.

Unaamka asubuhi unapiga miayo tu hujui utakula nini hiyo hamu ya tendo itatoka wapi?
 
Pesa ndio chanzo cha nyege. Kuna watu walikuwa malaya wanabadilisha wanawake kila kukicha ila baada ya kufulia hata jogoo hawiki.

Unaamka asubuhi unapiga miayo tu hujui utakula nini hiyo hamu ya tendo itatoka wapi?

ila kweli mtu hela huna hisia unatoa wapi
 
Mapenzii na pesaa Ni marafikii ukimkosaa mmojaaa hapoo utaonekana zuzuu tu hakuna namnaaa piaaa wanawakee nao hawaelewekiii kwa ujumlaa ukiendaa kwa wakee wa matajiriii wanalalamikaa ukijaaa kwa wanawakee wa kipato Cha chinii wanalalamikaa unashindwaa kujuaa kipi Ni kipiii chamsingii ukipataa watoto komaa kutadutaa pesaa kwaajili ya wanaoo mapenzii tumeyakutaaa tutayaachaa
 
Huwa najiuliza kama wanawake wanapenda sana show za kibabe si ndoa nyingi na sex machine zingekuepo?
 
Back
Top Bottom