Duh!! Hii thread ni ya wanawake tu. Ngoja waje kukujibu mkuu. Ila kama kweli unafanya utafiti ungetumia anonymous sample nafikiri hata wanaume wenye kujua jibu la swali hili (may be walishafanya research) wangekusaidia majibu. Pia kwa kukusaidia tu, jaribu kufafanua unamaanisha sifa zipi. Je ukimsifia kuwa ni mchapakazi, mrefu, mchangamfu au mweusi sana? Fafanua mkuu
Asante. Nawasilisha