JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,966
Ukimtongoza mwanamke akakubali na baada ya muda kidogo ukachomekea yako kutaka yaleeeee mambo yetu basi utamsikia mwanamke akija juu, oooooh bado sijakujua, juzi tu tayari ushaomba, unaelekea wewe shida yako ni hiyo tu na huna mapenzi na mimi. Kinachonishangazaga ni kuwa linapokuja suala la kupiga mizinga lenyewe halina muda mfupi sikufahamu, sasa iweje tunda lenyewe hadi unifahamu lakini mizinga ya ooooh nina shida ya laki 1 yenyewe nayo isisubili hadi mfahamiane?????????