Wanawake mmezidi mawigi yananuka kweli!

Wanawake mmezidi mawigi yananuka kweli!

Chuchu zinachachuka ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Shoo emu njoo ucheke Lenie
Doooh naona wametuamulia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Amesahau bra nyeusi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ halafu wana kale katabia anapikicha na kidole halafu ana nusaa ku test mzigo, au wale fungus sijui chawa/bacteria wakimuwasha unaona akipiga bichwa, paaa.. paaa,then anakausha kama sio yeye, yale ni mateso..
Depal
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
 
Kwani lazima hayo madude. Hivi ukiweka kipilipili chako safi kama Nancy Sumari, unapungukiwa nini? Kila mtu anajua kuwa Waafrika tuna nywele fupi? Nani unajaribu kum-fool?
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… nawafool wasionijua kama nina kipilipili
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… nawafool wasionijua kama nina kipilipili
Unaji-fool mwenyewe. Nione mweusi mwenzangu ana nywele zilizonyooka hadi mgongoni halafu niamini kuwa ni zake halisi? Wigi ni alama ya kutokujiamini. Ni sawa na wenye mvi wanaoweka die. Ni kutokujiamini pia.
 
Unaji-fool mwenyewe. Nione mweusi mwenzangu ana nywele zilizonyooka hadi mgongoni halafu niamini. Wigi ni alama ya kutokujiamini. Ni sawa na wenye mvi wanaoweka die. Ni kutokujiamini pia.
Sawa..
Wacha tuji-fool โ€˜ tuji- enjoy wenyeweโ€ฆ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom