Wanawake mmekuwa maskini wa nywele sasa

Wanawake mmekuwa maskini wa nywele sasa

wanaume ndo maana mnachepuka saana. Acheni wanawake wajipambe bila kuwavunjia heshima. Kwani mtu akivaa wigi anabadilika uanawake wake? Mimi sioni sababu mwache mwanamke ajipambe wivu ni mbaya
Ninyi mnaosema hivi kesho tunawakuta mnavizia wanawake walioweka mawigi acheni unafki jamani
Si kweli,sema unakuta wasioweka ni wakumurika kwa tochi,,kwa hiyo no way..ila wanaume wengi tunapenda natural hair..hebu mcheki mtoto tunda alivyotulia na natural hair...hebu africa tuwe waafrica,mbona wazungu wameridhika na nywele zao.
 
Kibaya zaidi wavaa minywele bandia huwa hawakogi kichwani. Ni uchafu mtupu.
Kweli kabisa wakiwa na pesa wanasafisha kwa wiki mara moja,wasipokuwa na hela hata mwezi...jamani shida yote ya nn??
 
Hafu wakivaa hayo mawigi mabichwa yanaongezeka yanakuwa makuubwaa ka tikiti maji! Pia mengi yananuka na frankly hayawapendezi wengi,a woman on her natural hair ananoga aiseeh
Wanawake watusikie sisi wanaume...mmeumbwa kwa ajili yetu..tusikilizeni...tunataka mubaki na nywele zenu mlizopewa na Mungu.
 
Hahaaaa!!!
Kama mnaichukia kiasi hicho Si muwafate hao natural?
Yaani wewe unataka embe mbivu ila ukifika sokoni unachagua mbichi,kisha unaenda ukilalamika njia nzima!!!
Si nywele zinazotufanya tuwafate,ila ni kwa sababu natural ni wachache sana na wanaume ni wengi..ndio mnabebwa hivyo hivyo...ridhikeni na uumbaji wa Mungu,usimfundishe Mungu
 
Katika kila wanawake 10 utakaokutana nao,7 wamevaa nywele bandia, kwa hiyo ni ngumu kuwajua sura zao halisi. Hawa wanawake wanaovaa hayo majinywele bandia sijui wamekula maharagwe ya wapi?

Nani aliwaambia muweke midawa mpaka nywele zimenyonyoka utadhani mbayuwayu kakoswa na manati.Chukueni mfano kwa Waziri Fenela Mkangara alivyo halisia, big up sana mama.

Kwa hiyo badilikeni, mnatuzingua sana aisee.
Tena wanasahau hata kuzihudumia nywele zao halisi ikitokea WIGI limewavuka katikati ya hadhara wanakuwa kama wadudu
 
wanaume wa sikuhizi sijui wakoje?Sasa kuwatawala wake zenu tu mmeshindwa sasa mnataka kumtawala kila mmoja.Mwanamke wa mwingine akivaa wigs/weaves wewe kinakuhusu nini?Ilimradi akirudi ndani kwake mumewe anaona hizo nywele zake za asilia kwasababu hatolala na hilo wig wewe wa nje inakuhusu nini sasa?

umjue sura yake halisi ili iweje??mume wake marafiki na ndugu zake wakijua sura yake halisi inatosha.Muda umefika watu wengine mkaanza kujali biashara zenu na si za watu.Masharti unayompa mkeo/mpenzi wako usitake yakawa masharti ya wake/wapenzi wa wengine.Aaarg mtu humlishi na wala humvishi kinachokusumbua nini na maisha yake?Mwache mumewe aseme au mpenzi wake.Lakini kwa upande wako ungemsemea mkeo hauna mamlaka ya kuwaaamulia wake au wapenzi wa wengine.,
Ushauri kwa jamii nzima wenye mashiko sio suala la kufuatilia maisha binafsi mkuu..tofautisha
 
Mwanamke ni Urembo so wacha amfurahishe mwenza wake au mtarajiwa wake even akiwa kwenye mawindo yake.... kama hupendi acha tu.....

Tuwaheshimu wanawake...
 
Na hayo mawigi ndio yanayopagawisha hadi mnaacha nyumba zetu na kwenda kuyahudumia. Wambeya wakubwa.... mnajifanya hamyapendi wakati mkiyaona suluali zinawatingishika!!!???? Tena wake zenu natural mnaona haya hata kutokanao out.... hovyoooooo kabisaa
Tunayahudumia na kuyasifia kwa unafiki ili tupate tunachokitaka na tukipata ndo maana tunawakimbia.....hakuna anayependa kulala ananusa harufu za uvundo wa manywele ya maiti wa India
 
Fashion kwenye nywele...ujinga huo...mbona wazungu wameridhika na nywele zao tangu kale mpk sasa.
kumbe unazuzukaga na nywele zao?

masikini wee by th way na wao huaga wanabond na kuweka mawigi usikalili watu weusi tu.
 
Back
Top Bottom