Nina experience ya maisha, nimejifunza tabia za binadamu hasa wanaume. Walio wengi hupenda sana mwanamke mrembo anayejipamba sana kuwa naye popote LAKINI hawapendi wake zao wajipambe maana hujua watapendwa na kushawishika na wanaume wengine!
Katika kila wanawake 10 utakaokutana nao,7 wamevaa nywele bandia, kwa hiyo ni ngumu kuwajua sura zao halisi. Hawa wanawake wanaovaa hayo majinywele bandia sijui wamekula maharagwe ya wapi?
Nani aliwaambia muweke midawa mpaka nywele zimenyonyoka utadhani mbayuwayu kakoswa na manati.Chukueni mfano kwa Waziri Fenela Mkangara alivyo halisia, big up sana mama.
Kwa hiyo badilikeni, mnatuzingua sana aisee.
Kwaiyo unafurahi mkitumiwa kama chombo cha starehe ha ha ha haaa. Mke mwenye busara yuko ndani ila punda anatumiwa tu. Hahaha
Wengi wana nywele vipili pili , na upara ndo umekula wnegi sana......yaani kama mac regan kiapara....
hivyo wanavaa wigi kuficha aibu yao.
katika kila wanawake 10 utakaokutana nao,7 wamevaa nywele bandia, kwa hiyo ni ngumu kuwajua sura zao halisi. Hawa wanawake wanaovaa hayo majinywele bandia sijui wamekula maharagwe ya wapi?
Nani aliwaambia muweke midawa mpaka nywele zimenyonyoka utadhani mbayuwayu kakoswa na manati.chukueni mfano kwa waziri fenela mkangara alivyo halisia, big up sana mama.
Kwa hiyo badilikeni, mnatuzingua sana aisee.
Na hayo mawigi ndio yanayopagawisha hadi mnaacha nyumba zetu na kwenda kuyahudumia. Wambeya wakubwa.... mnajifanya hamyapendi wakati mkiyaona suluali zinawatingishika!!!???? Tena wake zenu natural mnaona haya hata kutokanao out.... hovyoooooo kabisaa
Mawigi yanawasaidia sana kufunika vichwa maana vingi vimejaa mba
Wanaweka kwasababu wanaume wenzio wanavutiwa nayo na hutoa hala ya kununulia, anaambiwa naomba hela ya lesi wigi shs.200,000