Wanawake mlioolewa Morning Glory Muhimu

kwa wenzi wao...kumbuka kuna watu wanaishi pamoja as husband and wife but hawajaoana..pia uchumba wa sikuhizi bila tombano ni sheeeedah...

Hahahaaa hilo neno la mwisho sasa daaah ni sheeedah
 
kwa wenzi wao...kumbuka kuna watu wanaishi pamoja as husband and wife but hawajaoana..pia uchumba wa sikuhizi bila tombano ni sheeeedah...

Dada maneno hayooooo duuuu hadi nimeona aibu jaman
 
Nakasirika, nalala tena nauchapa usingizi asbh akiomba simpiiii otherwise niamue iwe "make up" sio "morning glory"

Hahahahaaa eti "make up!"hapo nakulia timing kitu iko mnara n'takubembelezaje bebi, huku nakupapasa najidai "saint"ukinipa nasimamia kama 'bike' si ushafanya niisotee...
 
Mimi kama mwanaume mwenye mke, asemacho mleta mada ni kweli. Ila inatakiwa pawepo na utayari hasa kwa mke both mentally, physically and psychologically. Tofauti na hivyo ni kuumizana.

Na mazoea hujenga tabia, sisi every morning yaani ni hivi lazima kudinyana ndio siku ianze. Ila kama afya zetu wote na utashi uko okay for both of us.
 
hakuna kitu nachukia kama kuamshwa asubuhi wakati usingizi ndio unanoga pale.
Nanunaga ni balaa, ila utasumbuliwa hadi usingizi unakata inabidi umpe tu ili kutimiza wajibu kwa kweli.
'hakuna kitu sipendi kama kuamshwa nikiwa nimelala'
cc Asprin

Nani kakudanganya utoe siri za ndani???

Utanitambua.
 
Tena mkishamwagiwa mkumbuke kusema ahsante kunawanaochapwa nangumi ndio tunaamka else ni NEEMA ya Mungu kuamka kwamwnaume na kukushugulikia so mkumbuke na kusema ahsante
 
mwanamke akiwa na pumzi ya kutosha sio tu anahimili ila na yeye inamsaidia. cha asubuh kizuri mno

hahaha kumbe kwenye ndoa patamu eeh. haya dada Iryn, nakuja PM unijuze zaidi huo 'uzuri/utamu' wa cha-asubuhi ukoje. lol
 
"We can make the new day right, all the bad songs of the night will fade into the past" - Michael Jackson
 
Mmmh kama kuna mapenzi na skills. La sivyo utaenda kazini unatembea kama umekanyaga kaa la moto...!
 

ishu sio tombano asubuhi... Mi naona tombano lifanyike wakati wowote ule ambao utamuhisi mwenzio anataka... Hata kama huna hamu we mpe tuu...
 
Kila kitu kinafanywa kwa kiasi hivyo unyumba pia unatakiwa mpeane kwa kiasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…