Wanawake mlioolewa Morning Glory Muhimu

na wakti wa mvua pia tendo lile linanoga sanaaa
 
wanawake wote mie naona sawa, maana wote wanavaa wigi, wanapaka kucha rangi, wanajiremba kwenye nyusi, wanasuka ruster.

ni tofauti kutokana na mazingira waliyokulia na familia tulizotoka .
in fact kila mtu duniani ni tofauti .

Kama we unaona wanawake wote ni sawa ajili ya urembo basi fikiri
tena na tumia akili wakati unawaza..

unataka kuniambia wanaume wote ni sawa ajili wanavaa suruali ??
 
Yaani hakuna starehe napenda kama unyumba lol halaf umpate anaejua kukupelekesha hasa mamaaa utaomba poo tu halaf hakuna gol tam kama la asubuh

starehe ya wote hiyo mama. nani asiependa utamu? labda afrodenzi tu ndo hapendi
 
Last edited by a moderator:

Wakaka na nyinyi masuala ya usafi wa mwili yanahusu, unaomba morning glory wakati jana ulipiga mtungi umerudi nyumbani hukukumbuka mswaki wa mouth wash. Kwa wale wanaojua harufu ya pombe asubuhi kabla kinywa hakija fanyiwa maarifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…