Wanawake mkome kutusingizia mimba

nakupongeza mkuu
 
Kuna jamaa yangu mmoja alikua anatiana na bidada an;aitwa shani huku mtaani. Sasa jamaa hajawahi kuuza mechi,lazma avae mpira kila akikutana na bibie. Dizaini bibie akapuyanga kuchepuka alafu kachepuka ile kiDidier Kavu-mbagu,nyumbani wana:muuliza akasema ya Jamaa angu. Si wakamuita jamaa bwana,wakamuelezea na mkwara kibao,jamaa kwa kujiamini akawaambie mimi ntarudi kesho ila muulizeni mwanenu vizuri mimba ni yangu?
Wakamjibu kesho tutamuuliza mbele yako.
Kesho jamaa akanibeba na mimi akapiga safari zake 3 akasema ngoja nikawaonyeshe watu show ya Grammy leo,kufika pale mazaake na demu,dada zake wawili,mjomba na mjumbe juu. Demu akaulizwa mimba ya nani akasema ya Jamaa,mama mtu kashadadia umesikia baba? Mwanangu akakaa kimya dakika moja akamuuliza demu in plain language "we shani siku gani mim nimkut.omba kavu? Mama mtu yuko astaghafirullah,jamaa akamhesabia demu mara walizotiana alafu akamuuliza sema kati ya hizo lini nilikutia kavu,Demu kimyaaaaa...Mama mtu anaangalia chini tu aibu imemjaa.
Jamaa akainuka akawaambia kama nyie ni watu wazima mshaelewa,mwambieni awatajie iyo mimba ya nani,tukasepa kiBoss ukizingatia na mmoja kati ya dada zake nimemparua tukaachana kwa shari basi ikawa Win-win situation.
 
Kwahiyo mliacha gari hospital mkapanda Daladala,uongo wa karne!
Message sent
Ushaambiwa walitafuta usafiri,hapo huwenda tax au boda iliwapeleka tu ikawaacha sasa jombii unakimbilia kuona watu waongo,haya tupe ukweli wako ww! Mijitu mingine kama imelogwa yani.
 
Kweli vyuma vimegandia kutu, hiyo saa 12 badala ya kupiga viwili vitatu vya asubuhi wewe unang'ang'ana na makopo ya mikojo asubuhi asubuhi.
Yale makopo inatakiwa yatolewe mapema kabla majirani hawajaamka.
Ila aibu mwanaume mzima kukojoa kwenye kopo.
 
Kwenye kopo humo mnakojoa wangapi..??[emoji28] [emoji28] [emoji23]
 
mwanangu una akili kinomaa maana ingekuwa kesi nyingine hapo na ange kuganda sana bora ume kuwa mpole uka mpeleka.

sasa vipi mawasiliano yaliendelea au ndo mambo yaliishia hapo hapo
 
Hahaa noma kweli kama naona vile mama mkwe alivyopigwa butwaa
 
Yale makopo inatakiwa yatolewe mapema kabla majirani hawajaamka.
Ila aibu mwanaume mzima kukojoa kwenye kopo.
Sio mimi bro niliyekojoa kwenye kopo [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Usiku wakati wa gegedo nilihisi sio situation ya kawaida kwenye tumbo plus alivyokua anachagua vyakula ndio nikasema lazima nifanye mambo usiku na vile nililazimisha anywe juice usiku nikajua hapa hakukuchi


Wanawake wajawazito wanakojoa kwa interval ndogo.
 
mwanangu una akili kinomaa maana ingekuwa kesi nyingine hapo na ange kuganda sana bora ume kuwa mpole uka mpeleka.

sasa vipi mawasiliano yaliendelea au ndo mambo yaliishia hapo hapo
Nilimtumia message ya kumjulia hali juzi hajajibu mpaka saa hii, nafikiri atakuwa anafua labda![emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…