habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,752
- Thread starter
- #41
shoga??? Tafadhali
Mkuu huyu ni mkufunzi nae anadarasa kabisa, ndiko tulipofika
shoga??? Tafadhali
Tumsifu Yesu Kristukwa kuzingatia umuhimu wake na mahala husika
Nawewe unakatika lknUkimruhusu mwanamke akatike ina maana kakuzidi ufundi katika mchzo mzima.
Milele aminaTumsifu Yesu Kristu



Amani ya iwe nanyi watu wa Mungu,
Kwa wale mnoendelea kusubiri noa kazi kwenu, endeleeni na imani yenu itawapatia noa.
Km kichwa cha habari kinavyosomeka na hayo si maneno yangu Bali ni maneno kutoka kwa Mch mmoja kwa jina km sikosei anaitwa Mitomingi.
Mch kuwafundisha washirika wake kwamba wakajifunze kukata viuno ni sahihi? Zaidi anatoa na mfano kabisa kwamba Magomeni kuna mwanamama shangingi ndio kazi yake ya kufundisha wanawake kukata viuno na malipo ataleta baada ya kupata faida ya hicho alichojifunza kwake
Watu wa Mungu ni sahihi mafundisho km haya kufundishwa na Mch ndani ya kanisa?
Karibuni
Hahahahaha mkuu acha kuniumiza mbavu,Maumbile wametofautiana, wengine haijulikani mwili uko wapi na kiuno kiko wapi, akikatika anaanzia shingoni mpaka miguuni.
contact ya huyo mama wa magomeni please




ukipata nirushie na mie bestHahahahaha mkuu acha kuniumiza mbavu,
Sio haki lkn
ndo ukweli mkuuHahahahaha mkuu acha kuniumiza mbavu,
Sio haki lkn
Mmmmmh....Inategemea kaongea katika mazingira yepi
Ila sioni tatizo na nivema kufundisha hayo kwakua ndoa ni unyumba
Mkuu pia nimemkubaliKuna vitu 2 huwa vina changanya ,kuna dhambi na kosa,mch,yupo sahihi kulingana na mazingira hayo ,kwa sababu hakubiri kanisani ,ni kwenye mafundisho ya wanawake coz hatafurahi kuona ndoa za washirika wake zikivunjika kizembe,rutu aliambiwa na MkwE wake nn ,akafanye kwa boazi?big up pastor
Noa hakuna tena mkuuKazi ipo mpaka hizo noah zifike!