Wanawake mjifunze kukata viuno

Wanawake mjifunze kukata viuno

Mimi ni Muislamu habar za wachungaji kuruhusiwa kukata viuno sitaweza kujua km ni sawa au si sawa.
Naamini kaz ya mch na shekhe hazitofautian, kwakuwa wote ni viongozi wadini, wanachotofautiana ni imani tu lkn wte wanawajibu wa kuwafunza na kuwahimiza watu wao kuwa na maadili mema na kufanya kaz kwa bidii kujiletea maendeleo
 
Ndugu yangu “Habari ya Hapa”, habari unayoizungumzia nyingine lakini unaanza na mambo ya watu kupewa Noah za bure! Nimekuwa nikisoma humu mara nyingi sana kuhusu hili suala la Noah za bure! Haya mawazo ya Noah za bure sijui yametoka wapi maana kuwaza na kutamani na mpaka kufikia hatua ya kuandika kuhusu Noah za bure ni utumwa fulani wa kupenda kupewa vitu vya bure. Kwa vile inayosemwa kutoa hizo Noah bure ni Serikali basi watu hao wanaoshabikia wazo la Noah za bure wanaona ni haki yao kupata vitu bure kutoka Serikalini! Haya ni mawazo dhaifu na ambayo ndiyo yalileteleza watu kuwa wanajichukulia au kuiibia hovyo Serikali kwa kuamini kwamba ni haki yao kufanya hivyo. Acheni kuwa na mawazo hayo ya kimaskini na ya kipuuzi. Mtu mzima unazungumzia kupata vitu bure kutoka Serikalini century hii ya 21 na anaona ni busara, kweli? Watu kama hao ndiyo wanaweza kuiibia nchi na Serikali kwa kufikiri wanachukua kilicho chao. Acheni upuuzi huo. Mtu akitaka Noah anunue mwenyewe siyo asubiri Serikali imletee bure! Hakuna Serikali yoyote inayotoa hata baiskeli bure kwa wananchi wake.
Hii habari ya noah usifikiri watu wako serious wanasubiri kupewa

Kinachofanyika panapozungumziwa noah ni kama dhihaka kwa aliyeyaleta ya noah
 
Mbinu wanazotumia kupiga mizinga wangekuwa nazo kwenye viuno Ndoa zingedumu sana!
 
Naamini kaz ya mch na shekhe hazitofautian, kwakuwa wote ni viongozi wadini, wanachotofautiana ni imani tu lkn wte wanawajibu wa kuwafunza na kuwahimiza watu wao kuwa na maadili mema na kufanya kaz kwa bidii kujiletea maendeleo
OK kwa upande Wangu uislam ni dini yenye kuhusu mfumo mzima binadamu kuanzia kuzaliwa mpk kufa . Kwa hiyo haujaacha kitu kila kitu Kiko wazi katika Quran. kwenye Swala la ndoa wanandoa mnatakiwa mfurahishane kadri muwezavyo mradi msifanye vitu vilivyoharamishwa katika dini Mfn kumuingilia kinyume na maumb mwanamke. Au kujimai na mwanamke katika siku zake nk


Kusema wakajifunze kwa flani kwa upande Wangu Inaweza ikawa sahihi au sio sahihi

Mfano kwa waislam kuna madrasa special kwa wanawake tu huko yanafundishwa mambo yote ya dini hususani ya mwanamke na hawaachi kitu kwakwel hili ni Darsa Kisheria linakubaliwa .hapa anaweza akawaelekeza kwa sababu ni darsa linalofata misingi na sheria ya dini

Lakini si sawa Kama hili Darsa au mfundishaji anatumia nyenzo na mambo yaliyaharamishwa katika dini, unakuta labda wanafundishwa kwa kuwekewa muziki, au ngoma ni haram ktk dini
 
Ukimruhusu mwanamke akatike ina maana kakuzidi ufundi katika mchzo mzima.
 
Ukimruhusu mwanamke akatike ina maana kakuzidi ufundi katika mchzo mzimam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom