Wanawake mjifunze kukata viuno

Wanawake mjifunze kukata viuno

habari ya hapa

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
12,789
Reaction score
8,752
Amani ya iwe nanyi watu wa Mungu,

Kwa wale mnoendelea kusubiri noa kazi kwenu, endeleeni na imani yenu itawapatia noa.

Km kichwa cha habari kinavyosomeka na hayo si maneno yangu Bali ni maneno kutoka kwa Mch mmoja kwa jina km sikosei anaitwa Mitomingi.

Mch kuwafundisha washirika wake kwamba wakajifunze kukata viuno ni sahihi? Zaidi anatoa na mfano kabisa kwamba Magomeni kuna mwanamama shangingi ndio kazi yake ya kufundisha wanawake kukata viuno na malipo ataleta baada ya kupata faida ya hicho alichojifunza kwake

Watu wa Mungu ni sahihi mafundisho km haya kufundishwa na Mch ndani ya kanisa?

Karibuni
 
hao sio watu wa Mungu na ma agent wa shetani,wanawaza ku accumulate sadaka tuu,so ili mumpe sadaka anafanya lolote awaridhishe hata kama ni kinyume cha maadili,
 
Amani ya iwe nanyi watu wa Mungu,

Kwa wale mnoendelea kusubiri noa kazi kwenu, endeleeni na imani yenu itawapatia noa.

Km kichwa cha habari kinavyosomeka na hayo si maneno yangu Bali ni maneno kutoka kwa Mch mmoja kwa jina km sikosei anaitwa Mitomingi.

Mch kuwafundisha washirika wake kwamba wakajifunze kukata viuno ni sahihi? Zaidi anatoa na mfano kabisa kwamba Magomeni kuna mwanamama shangingi ndio kazi yake ya kufundisha wanawake kukata viuno na malipo ataleta baada ya kupata faida ya hicho alichojifunza kwake

Watu wa Mungu ni sahihi mafundisho km haya kufundishwa na Mch ndani ya kanisa?

Karibuni
h
hayo wanafundishana wanawake walioolewa kwenye masomo ya ndoa na unyumba.Wamama wanafundishwa na mama mwenzao katika kipindi cha wanawake.Pia zipo semina za wanandoa tu,huko ni kufundishwa mambo mengi yahusuyo ndoa na unyumba.Ila si vizuri sana kufundisha kukiwa na mchanganyiko wa waumini.Ni Mara chache sana inaweza kutokea kama mchungaji ataona ni vema afundishe Generally
 
Ndugu yangu “Habari ya Hapa”, habari unayoizungumzia nyingine lakini unaanza na mambo ya watu kupewa Noah za bure! Nimekuwa nikisoma humu mara nyingi sana kuhusu hili suala la Noah za bure! Haya mawazo ya Noah za bure sijui yametoka wapi maana kuwaza na kutamani na mpaka kufikia hatua ya kuandika kuhusu Noah za bure ni utumwa fulani wa kupenda kupewa vitu vya bure. Kwa vile inayosemwa kutoa hizo Noah bure ni Serikali basi watu hao wanaoshabikia wazo la Noah za bure wanaona ni haki yao kupata vitu bure kutoka Serikalini! Haya ni mawazo dhaifu na ambayo ndiyo yalileteleza watu kuwa wanajichukulia au kuiibia hovyo Serikali kwa kuamini kwamba ni haki yao kufanya hivyo. Acheni kuwa na mawazo hayo ya kimaskini na ya kipuuzi. Mtu mzima unazungumzia kupata vitu bure kutoka Serikalini century hii ya 21 na anaona ni busara, kweli? Watu kama hao ndiyo wanaweza kuiibia nchi na Serikali kwa kufikiri wanachukua kilicho chao. Acheni upuuzi huo. Mtu akitaka Noah anunue mwenyewe siyo asubiri Serikali imletee bure! Hakuna Serikali yoyote inayotoa hata baiskeli bure kwa wananchi wake.

Amani ya iwe nanyi watu wa Mungu,

Kwa wale mnoendelea kusubiri noa kazi kwenu, endeleeni na imani yenu itawapatia noa.

Km kichwa cha habari kinavyosomeka na hayo si maneno yangu Bali ni maneno kutoka kwa Mch mmoja kwa jina km sikosei anaitwa Mitomingi.

Mch kuwafundisha washirika wake kwamba wakajifunze kukata viuno ni sahihi? Zaidi anatoa na mfano kabisa kwamba Magomeni kuna mwanamama shangingi ndio kazi yake ya kufundisha wanawake kukata viuno na malipo ataleta baada ya kupata faida ya hicho alichojifunza kwake

Watu wa Mungu ni sahihi mafundisho km haya kufundishwa na Mch ndani ya kanisa?

Karibuni
 
Madada wengi sio wachinjaji na wala hawafanyi kazi buchani..

Sasa hivyo viuno wajifunzie wapi kukata? Na kwa kazi gani?
 
Kwa kuwa ni swali kwa wachungaji acha nipite. Sitolijibu kwa uweledi
 
Amani ya iwe nanyi watu wa Mungu,

Kwa wale mnoendelea kusubiri noa kazi kwenu, endeleeni na imani yenu itawapatia noa.

Km kichwa cha habari kinavyosomeka na hayo si maneno yangu Bali ni maneno kutoka kwa Mch mmoja kwa jina km sikosei anaitwa Mitomingi.

Mch kuwafundisha washirika wake kwamba wakajifunze kukata viuno ni sahihi? Zaidi anatoa na mfano kabisa kwamba Magomeni kuna mwanamama shangingi ndio kazi yake ya kufundisha wanawake kukata viuno na malipo ataleta baada ya kupata faida ya hicho alichojifunza kwake

Watu wa Mungu ni sahihi mafundisho km haya kufundishwa na Mch ndani ya kanisa?

Karibuni
contact ya huyo mama wa magomeni please
 
Ndugu yangu “Habari ya Hapa”, habari unayoizungumzia nyingine lakini unaanza na mambo ya watu kupewa Noah za bure! Nimekuwa nikisoma humu mara nyingi sana kuhusu hili suala la Noah za bure! Haya mawazo ya Noah za bure sijui yametoka wapi maana kuwaza na kutamani na mpaka kufikia hatua ya kuandika kuhusu Noah za bure ni utumwa fulani wa kupenda kupewa vitu vya bure. Kwa vile inayosemwa kutoa hizo Noah bure ni Serikali basi watu hao wanaoshabikia wazo la Noah za bure wanaona ni haki yao kupata vitu bure kutoka Serikalini! Haya ni mawazo dhaifu na ambayo ndiyo yalileteleza watu kuwa wanajichukulia au kuiibia hovyo Serikali kwa kuamini kwamba ni haki yao kufanya hivyo. Acheni kuwa na mawazo hayo ya kimaskini na ya kipuuzi. Mtu mzima unazungumzia kupata vitu bure kutoka Serikalini century hii ya 21 na anaona ni busara, kweli? Watu kama hao ndiyo wanaweza kuiibia nchi na Serikali kwa kufikiri wanachukua kilicho chao. Acheni upuuzi huo. Mtu akitaka Noah anunue mwenyewe siyo asubiri Serikali imletee bure! Hakuna Serikali yoyote inayotoa hata baiskeli bure kwa wananchi wake.
Msuluhishi heshima kwako,

Kweli ni aibu watu wazima kupenda vya bure tena toka serikalini ni aibu ya taifa,

Mkuu nilichomekea tu hapo, vipi kuhusu viuno vya wanawake wakilokole, wakafundishwe vilegee? Au vilivyokaza ndo mpango mzima?
 
Madada wengi sio wachinjaji na wala hawafanyi kazi buchani..

Sasa hivyo viuno wajifunzie wapi kukata? Na kwa kazi gani?
Ndo waende magomeni, nasikia anafundisha bure ukienda ukafanikiwa ndo utampelekea zawadi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom