miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Huyo aliye naye si mume wake.
Nani kakwambia kuwa si mume wake?wakati wamefunga ndoa.......................!Labda wewe ndo utuambie nani mumewe
Huyo aliye naye si mume wake.
Nani kakwambia kuwa si mume wake?wakati wamefunga ndoa.......................!Labda wewe ndo utuambie nani mumewe
Oooh, yeah, you're very strong!
kuna -------- mmoja juz alikua anapuuzia sana hki kipindi na alidiriki kusema akimkuta mkewe anaangalia hiki kipind atampa talaka nikajua ni hawa haw mafirauni hawataki wanawake wakombolewe na nina hakika atakua ametoka zanzibar sababu kule wanawake wa zanzibar sawa na tambara la deki
Watu mnapenda ushambenga hadi mmebadilisha maana ya topic. Hapa Joy a anapewa Hongera kwa kuweza kuonyesha wanawake wa vijijini wanavyoidhi. Mambo ya mme na ndoa yanahusikaje?
Umbea haulipi jamani. Mpenzi tu Hongera zake. Kweli huyu dada ni mwanamke wa Shoka.
Mwanaume ni majukumu na si suruali. Ndoa inaweza kuwa ilifungwa na kasisi lakini Haina baraka za Mungu.