Wanawake LIVE kipo hewani..

Wanawake LIVE kipo hewani..

kuna -------- mmoja juz alikua anapuuzia sana hki kipindi na alidiriki kusema akimkuta mkewe anaangalia hiki kipind atampa talaka nikajua ni hawa haw mafirauni hawataki wanawake wakombolewe na nina hakika atakua ametoka zanzibar sababu kule wanawake wa zanzibar sawa na tambara la deki

Dah! Naona umekwenda mbali sana.
 
Watu mnapenda ushambenga hadi mmebadilisha maana ya topic. Hapa Joy a anapewa Hongera kwa kuweza kuonyesha wanawake wa vijijini wanavyoidhi. Mambo ya mme na ndoa yanahusikaje?

Umbea haulipi jamani. Mpenzi tu Hongera zake. Kweli huyu dada ni mwanamke wa Shoka.

Mwanaume ni majukumu na si suruali. Ndoa inaweza kuwa ilifungwa na kasisi lakini Haina baraka za Mungu.
 
Watu mnapenda ushambenga hadi mmebadilisha maana ya topic. Hapa Joy a anapewa Hongera kwa kuweza kuonyesha wanawake wa vijijini wanavyoidhi. Mambo ya mme na ndoa yanahusikaje?

Umbea haulipi jamani. Mpenzi tu Hongera zake. Kweli huyu dada ni mwanamke wa Shoka.

Mwanaume ni majukumu na si suruali. Ndoa inaweza kuwa ilifungwa na kasisi lakini Haina baraka za Mungu.

Na wewe unaitwa Eliza?
 
Back
Top Bottom