Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,411
- 79,662
Kaa mkao wa kutambaa
hahaha wanawake hamfai..sipend kurudi topeni..dec sio mbali..nataja utamba
e
hahaha wanawake hamfai..sipend kurudi topeni..dec sio mbali..nataja utamba
e
Wanatamani kuwa wanawake.Mwanaume kuumia sisi eti tutapata tabu huo ni uzwazwa sasa sie tukipata shida wewe jnawashwa nini. Huwa nashangaa mwanaume anaumia kisa life style ya wanawake au na wewe Wataka papuchi? Mara bikra sijui nini kila mtu na life style yake tu. Wengine hawakuumbiwa hata ndoa,
Apart frm avatar yake pia michango yake ya nyuma amejitanabaisha kama female labda awe shemale.
Mwanaume kuumia sisi eti tutapata tabu huo ni uzwazwa sasa sie tukipata shida wewe jnawashwa nini. Huwa nashangaa mwanaume anaumia kisa life style ya wanawake au na wewe Wataka papuchi? Mara bikra sijui nini kila mtu na life style yake tu. Wengine hawakuumbiwa hata ndoa,
Will comeOmg..ila umenihamisha ujue...si uje?
Yani topic za wanawake huwauna kuliko sisi wanawake wenyewe halisi. Ingetakiwa sisi tuje kulalamika nadhani wengi huanzisha mada za kupondea wanawake Ili wapate koment na kujifariji baada ya kupigwa vibutiWanatamani kuwa wanawake.
Will come
karibu.....kuna michaka mitraamu tuizindue pamoja...
Moja ya njia ya kupatia kiki jf ni kuanzisha mada zinazohusu wanawake.Yani topic za wanawake huwauna kuliko sisi wanawake wenyewe halisi. Ingetakiwa sisi tuje kulalamika nadhani wengi huanzisha mada za kupondea wanawake Ili wapate koment na kujifariji baada ya kupigwa vibuti
Mambo model...Mwanaume kuumia sisi eti tutapata tabu huo ni uzwazwa sasa sie tukipata shida wewe jnawashwa nini. Huwa nashangaa mwanaume anaumia kisa life style ya wanawake au na wewe Wataka papuchi? Mara bikra sijui nini kila mtu na life style yake tu. Wengine hawakuumbiwa hata ndoa,
26nov will be there
Hakuna asiyeipenda ndoa, hata mimi naitamani sana tu ila siwezi kuikimbilia kwa presha kwani ni heri kuwa peke yangu kuliko kuja kuishi kwenye ndoa itakayokuwa kama tanuru.Wewe pia unatamani hayo maisha bila ndoa?
Nadhani hatujaelewana, hakuna asiyeipenda ndoa ila siwezi kuolewa kwa ilimradi nionekane niko kwenye ndoa kuwafurahisha walimwengu ilhali naugulia maumivu.Hahahahaha hivi utajisikiaje unapokutana na Marafiki zako wote wana waume zao hata kama Wanagombana Ugomvi huwa hawauweki barabarani kila mtu Aone...
Utajisikiaje Umefikisha miaka 40 Unajuliakana Mtaa mzima Hujawahi kuvalishwa Pete ya Ndoa wakati majira zako wanaenda makanisani na Misikitini na Waume na Watoto wao
kiburi cha Mwanamke hukomeshwa na Umri.. endelea kujidanganya
Nilikisoma na kukielewa vizuri sana, vipi una swali?Sizitaki mbichi hizi ulikisoma hicho kitabu
Kwani Ndoa Sikuhizi Zinapimwa Kwanza Ukiona Hakufai Unatoka... ?Nadhani hatujaelewana, hakuna asiyeipenda ndoa ila siwezi kuolewa kwa ilimradi nionekane niko kwenye ndoa kuwafurahisha walimwengu ilhali naugulia maumivu.
Kuna watu wanaolewa na watu wasiowapenda ili kuridhisha walimwengu au kuogopa umri... Huko ndio kujipeleka kwenye tanuru la ndoaKwani Ndoa Sikuhizi Zinapimwa Kwanza Ukiona Hakufai Unatoka... ?
utajuaje Unaugulia Maumivu ya Ndoa Kama haupo kwenye Ndoa?