Wanawake kwisha habari yao

Wanawake kwisha habari yao

Ukiona mke anakujibu atakavyo jua kuwa nafasi yako kama kichwa cha familia huitendei haki ipasavyo. Hakuna mwanamke anayejitambua atamjibu mume wake hovyo, unaanzaje labda?


lawd!wanawake wa siku hizi anamjibu mume amesimama..ongea na mumeo ukiwa umepiga goti...ukiweka mikono mbele kuonesha kicho!hata ukiwa kitandan mume akikuita hebu jishushe uoige goti..hivi kizaz huki nani aliyewadanganya 50/50?
 
Kazi ipo!!

Hakuna anayeweza shindana na maneno ya kinabii. Hata uwe nani, hata upinge vipi huwezi kuzuia unabii kutimia. Wanawake wengi sasa ni kama hawaamini kinachoenda kutokea lakini ukweli ndio huo.

Mwanamke uliyendoani, mwanamke mwenye mchumba ambaye unapendwa nakuomba ushikilia hapo hapo kwani zama tulizo nazo si lelemama. Thamani yenu ipo chini na ukiona mwanaume ameamua kukutolea mahari, kukuoa au kuishi na wewe tuu kama mme na mke tafadhali kamatia hapo hapo maana rungu linalokuja miaka ijayo hutoamini kinachoenda kutotea.

Ni wanawake wajinga wasioelewe tupo kipindi gani aidha ni wanawake wasio na elimu nzuri ya dini wasiojua zama hizi si za kuchezea. Thamani ya mwanamke ni ndoa zaidi ya hapo hana la ziada. Mwanamke aliumbwa kumsaidia mwanaume. Atamsaidia wapi mwanaume kama si kwenye ndoa. Mwanamke ameumbwa kuzaa, atazalia wapi kama si kwenye ndoa. Kukiuka hayo ndio hushusha heshima ya mwanamke na kumfanya awe sawa sawa na wanyama wengine. Hata baadhi ya wanyama hujua thamani ya ndoa.

Maandiko yanaenda kutimia. Biblia inasema: Mungu ameumba jambo jipya, tazama mwanamke atamlinda mwanaume. Huenda wapo ambao hawajawahi kusoma aya hiyo.

Kuna hii ambayo ndio mwiba mchungu wasiotaka kuusikia wanawake wakileo.
ISAYA 4
1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.


Kwa kweli unabii huu unatimia na miaka mitano ijayo kila kitu kitakuwa bayana.

Kama umeolewa mpende mumeo, na kama hujaolewa muombe Mungu akupe mume haraka maana episode inayofuata ni ya wanawake wenye nguvu ya kiuchumi, wenye elimu na wenye uwezo wa kuwahudumia waume zao. Huenda nisieleweke. Siku hizi ni bora umsomeshe mtoto wa kike ili dunia isije ikamshinda kwani picha linalokuja ni lakibabe sana.

Joka Jeusi
Ni mtumishi katika hekalu la Suleimani lililopo Chato
Aha we noma chattle
 
Hili andiko naliona wazi wazi kwa macho ya nyama. Hata wewe kama upo vizuri unaweza kuona. Yafuatayo:
1. Andiko linaonyesha wanawake watakuwa wengi kuliko wanaume. Yaani wanawake 7:1
2. Wanawake watakuwa na uwezo wa kujihudumia. Kujilisha na kujivalisha.
Tuje kwenye uhalisia sasa. Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wanawake lenye kutia mashaka hasa kwa wanawake waliopo umri wa kuolewa.
Kwa upande wa kiuchumi wanawake sasa hivi wanajitahidi na nadhani miaka 10 ijayo wanawake wengi watakuwa na uchumi mzuri kuliko wanaume weng
uchumi mzuri kwa kuuza papuchi direct or indirectly ,mkuu
 
Tunaongea vitu tofauti. Sipingi mke kumuheshimu mume wake.
Nashangaa jinsi mnavyosema lazima mwanamke aolewe, point yangu ililenga hapo.
lawd!wanawake wa siku hizi anamjibu mume amesimama..ongea na mumeo ukiwa umepiga goti...ukiweka mikono mbele kuonesha kicho!hata ukiwa kitandan mume akikuita hebu jishushe uoige goti..hivi kizaz huki nani aliyewadanganya 50/50?
 
Kazi ipo!!

Hakuna anayeweza shindana na maneno ya kinabii. Hata uwe nani, hata upinge vipi huwezi kuzuia unabii kutimia. Wanawake wengi sasa ni kama hawaamini kinachoenda kutokea lakini ukweli ndio huo.

Mwanamke uliyendoani, mwanamke mwenye mchumba ambaye unapendwa nakuomba ushikilia hapo hapo kwani zama tulizo nazo si lelemama. Thamani yenu ipo chini na ukiona mwanaume ameamua kukutolea mahari, kukuoa au kuishi na wewe tuu kama mme na mke tafadhali kamatia hapo hapo maana rungu linalokuja miaka ijayo hutoamini kinachoenda kutotea.

Ni wanawake wajinga wasioelewe tupo kipindi gani aidha ni wanawake wasio na elimu nzuri ya dini wasiojua zama hizi si za kuchezea. Thamani ya mwanamke ni ndoa zaidi ya hapo hana la ziada. Mwanamke aliumbwa kumsaidia mwanaume. Atamsaidia wapi mwanaume kama si kwenye ndoa. Mwanamke ameumbwa kuzaa, atazalia wapi kama si kwenye ndoa. Kukiuka hayo ndio hushusha heshima ya mwanamke na kumfanya awe sawa sawa na wanyama wengine. Hata baadhi ya wanyama hujua thamani ya ndoa.

Maandiko yanaenda kutimia. Biblia inasema: Mungu ameumba jambo jipya, tazama mwanamke atamlinda mwanaume. Huenda wapo ambao hawajawahi kusoma aya hiyo.

Kuna hii ambayo ndio mwiba mchungu wasiotaka kuusikia wanawake wakileo.
ISAYA 4
1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.


Kwa kweli unabii huu unatimia na miaka mitano ijayo kila kitu kitakuwa bayana.

Kama umeolewa mpende mumeo, na kama hujaolewa muombe Mungu akupe mume haraka maana episode inayofuata ni ya wanawake wenye nguvu ya kiuchumi, wenye elimu na wenye uwezo wa kuwahudumia waume zao. Huenda nisieleweke. Siku hizi ni bora umsomeshe mtoto wa kike ili dunia isije ikamshinda kwani picha linalokuja ni lakibabe sana.

Joka Jeusi
Ni mtumishi katika hekalu la Suleimani lililopo Chato
Mtumishi kutoka hekalu la suleiman lililopo Chato..!!
 
rusha tu mkuu..wanawake wa sasa hv wamekuwa mashetwain..hawataki kusikia..unamkuta mwanamke anavyomjibu mmewe kama yeye ndo kamuoa..hajui kbs mume ni idara nyeti sana...watakuja kujioa wenyewe wakishupaza shingo...
hili pia makonda angeliangalia kwa jicho jingine...udangaji umezidi sana sana...na mwanaume gan anaoa mwanamke wa aina hyo...


Ngoja nikurushie Pm Mkuu.
Kweli, na wengi wanajifanya wameenda shule. FaizaFoxy alikuwa na msemo usemao "Huko shule umeenda kusomea ujinga"
 
Back
Top Bottom